Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Izi beki za leo sijui zimekula nin yaani tukishambuliwa tu goli
 
Hivi kwa nini Mourinho hamgusi Zlatan, anamwogopa? Nasema tena kama nilivyosema last week jamaa(Zlatani) hafanyi lolote lakini bado anachezeshwa 90 minutes.
Mkuu umeona kama mimi, huyu zlatan amekuwa shida sana kwa timu lakini bado mou hashughuliki nae. Anataka kutuaminisha kuwa bila yeye timu haifungi. Mtu anakaa karibu dakika 20 hajagusa mpira na anatembea tu uwanjani.
 
Pogba!!!? Basi Mpaka Kante anamfunika Pogba a.k.a Mpira Pesa....! Gemu ya Leo Popobawa Hajatoa Pasi Hata Moja Anajogging tu Uwanjani.....
 
Ni wakati sasa wa kurudi magotini na kumuomba Rooney msamaha kwa matusi tuliyomtukana
 
Back
Top Bottom