Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

2748.jpg

And is congratulated by Costa.
 
Kila nikiangalia game ya united namkumbuka Brendan Rodgers. Alisema united inabidi wazoee kupitia kipindi kigumu. Huu ndo ukweli mchungu.

Wachezaji wa aina ya Fellain hawana hadhi ya kuvaa uzi wa Man united. poleni sana haswa wadau zangu Belo na bint yako everlenk. Endeleeni kuwa wavumilivu katika kipindi hiki kigumu.

Wacha1. Uko wapi ndugu?
Ha ha haa!..haya hawakuyazoea walikua wanayasikia kwa jirani tu.kutesa kwa zamu
 
4928.jpg

Pedro rounds De Gea on his way to scoring the opening goal
 
Kosa kubwa kwa Mou,

Pogba ni namba nane haswa, Hererra ni namba sita haswa, hata huyu Fella ni namba sita pia. Herrera anafanya kazi yake vizuri, Fella anapwaya kumalizia kazi nzuri za Herrera. Matokeo yake Pogba anaonekana Garasa kwa kazi mbovu za Fella, Hii kazi ya Fella ndiyo kazi haswa ya Pogba, hutaki kumpa namba yake. mpe basi mtu wa kucheza naye (Mata)

Haya basi unachuki na Matta, mpe Mikit amalizie kazi ya Pogba akicheza nane. Kwa trend hii anayoendanayo Mou, Kila mchezaji ataonekana Mbovu humu ndani, hivi sasa hapa Ibra anaonekana garasa kwa kukosa mipira ya Pogba, Mpemba pia amejaa presha kwa kukosa link kati ya Herrera, Fella na Pogba.

Halafu huyu Lingard mechi kubwa zinamshinda, kwanini humwamini Martial???

Utaanza kuchokwa kabla ya mda wako!!
Nakuelewa Mkuu ila sina hakika Mou kama anakuelewa but hichi ndio kitu ambacho Mou anatakiwa kushtuka mapema, lolote atakalofanya tumeshachelewa, ilikuwa hivi kwenye game na Man City
 
Mata atakuwa mtoto wa kambo. Pamoja na kuwa mwelevu lakini bado hapendwi na Mourinho
 
Back
Top Bottom