Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

We can blame a lot fellain but smalling na blind leo hamna walichokifanya.
Ngoja tuone second half
 
Leo mtalaumu mchezaji mmoja hadi mwingine... Mara Lingard, mara big Fella, baadaye mtamlaumu kanyaboya... Tusubiri

Haki ya Mungu leo masela wako wa bongo wakitumia akili kidogo tuu siku yao itakuwa nzuri sana

Jinsi ulivyokuwa na furaha , wakikupiga mzinga fasta una wahi western union kurekebisha
 
Lol mpopo gani wa UTD?

Simshangai huyo mpopo aliyekuambia.... wapopo wote wanashabikia Arsenal

Walcott ni maarufu mitaa ya Abuja kuliko East London lol
Mpopo co-worker anatoka Guinea anadai Mguinea wa kifaransa anasema hivyo kuwa jamaa ana jina kubwa wakati mpira wake ni wa kawaida. Anadai mfaransa anashinda Saluni kama mdogo wake Issa Athumani(jina limenitoka) alivyokuwa anashinda MAPIPA Enzi zile
 
Kosa kubwa kwa Mou,

Pogba ni namba nane haswa, Hererra ni namba sita haswa, hata huyu Fella ni namba sita pia. Herrera anafanya kazi yake vizuri, Fella anapwaya kumalizia kazi nzuri za Herrera. Matokeo yake Pogba anaonekana Garasa kwa kazi mbovu za Fella, Hii kazi ya Fella ndiyo kazi haswa ya Pogba, hutaki kumpa namba yake. mpe basi mtu wa kucheza naye (Mata)

Haya basi unachuki na Matta, mpe Mikit amalizie kazi ya Pogba akicheza nane. Kwa trend hii anayoendanayo Mou, Kila mchezaji ataonekana Mbovu humu ndani, hivi sasa hapa Ibra anaonekana garasa kwa kukosa mipira ya Pogba, Mpemba pia amejaa presha kwa kukosa link kati ya Herrera, Fella na Pogba.

Halafu huyu Lingard mechi kubwa zinamshinda, kwanini humwamini Martial???

Utaanza kuchokwa kabla ya mda wako!!
 
Kosa kubwa kwa Mou,

Pogba ni namba nane haswa, Hererra ni namba sita haswa, hata huyu Fella ni namba sita pia. Herrera anafanya kazi yake vizuri, Fella anapwaya kumalizia kazi nzuri za Herrera. Matokeo yake Pogba anaonekana Garasa kwa kazi mbovu za Fella, Hii kazi ya Fella ndiyo kazi haswa ya Pogba, hutaki kumpa namba yake. mpe basi mtu wa kucheza naye (Mata)

Haya basi unachuki na Matta, mpe Mikit amalizie kazi ya Pogba akicheza nane. Kwa trend hii anayoendanayo Mou, Kila mchezaji ataonekana Mbovu humu ndani, hivi sasa hapa Ibra anaonekana garasa kwa kukosa mipira ya Pogba, Mpemba pia amejaa presha kwa kukosa link kati ya Herrera, Fella na Pogba.

Halafu huyu Lingard mechi kubwa zinamshinda, kwanini humwamini Martial???

Utaanza kuchokwa kabla ya mda wako!!
Kilio chetu kimesikika mkuu...fellain nje
 
Jose Mounriho, "everlenk is not my friend"

1536.jpg

Mourinho, needs a plan B for the second half.
 
Siku akicheza Fellaini huwa sina imani. Sijui Mourinho anampendea nini huyu mtu.
Uyu kocha bado anaamin katika nguvu nawakati sa hiv tupo ulimwengu wa mbinu so sion mabadiliko yeyote
 
3422.jpg

Luiz fouls Fellaini and is shown a yellow
 
3522.jpg

Fellaini holds his knee after the challenge
 
Kwi kwi kwi kwi lol!

1952.jpg

Mourinho. Photograph:
 
Back
Top Bottom