Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sio timu ndogo na kikosi chake kimejaa hela, sasa kwa tactics za jana ilitakiwa timu ndogo ndo kucheza vile.
Una pogba, mkhitaryan, ibra, etc alafu unacheza vile na kuaifiana kuwa jm ni geneus ni uendawazimu.
Kwaiyo unamaanisha manure ni Good for nothing yani magalasa unamaanisha hakuna kitu sio??
 
Sasa huyo punguani alitaka tutumie nin kujua statistics.....walichokipata wao kwenye kuuchezea mpira ndio tulikipata sie kwa van gaal then at the end hakuna matokeo chanya
Vipi kupaki chevrolete kunaketa matokeo chanya??
 
Sisi tulienda na mtazamo wa win or draw wakati wao walikuwa na 100% Win, Ulimwengu uliwahakikishia 100% Liverpool win .... so huoni tumetimiza tulichokitaka?
Sio mlienda na mtazamo wa win or draw ndio uwezo umegotea pale na subirini mkutane na vibonde wetu chelsea iyo tarehe22
 
Sisi tulienda na mtazamo wa win or draw wakati wao walikuwa na 100% Win, Ulimwengu uliwahakikishia 100% Liverpool win .... so huoni tumetimiza tulichokitaka?
Hadi scholes alitusaliti mamaeeee mwisho wa matokeo wao ndio hawaamin ni nin kimetokea
 
For sure ilikua 4-3 so far ongeza kasi walau uwe unashinda usogee sogee nafasi ya 7 na 2 kuna gape kubwa sana hapo jitahidi kaka next game nampiga middlesbrough wakati huo unapigwa au kudraw tena na chelsea af BOLD GUNNER tunasogea kwa speed ya light
Short memory.
 
Back
Top Bottom