Manchester United (Red Devils) | Special Thread

C'mooooon this is football na hakuna wa kuni limit wapi ni post kuna comments na pics lundo za washikaji kutuoka Utd kule kwenye jukwaa la Arsenal,simply i'll keep posting as long as sivunji sheria za JF kumbuka football ni burudani.

Burudani ni kwenye jukwaa lenu.
 
Mkuu kuna "Arsenal Special Thread" hilo ndio jukwaa lenu,habari,picha za Arsenal zinapatikana uko. Hili ni jukwaa la Man United
Hili ni jukwaa la wapenda soka wote as long as hawatukani wala kuvunja sheria.Utani ni sehemu ya mpira pia.Subiri siku wakifungwa ukafanye fujo jukwaani kwao.
 
Poleni sana watani nasikia leo mlikuwa mnautafuta kweli


once a red always a red asante Allen

Tukutane after international break mpange kabisa tuwapige ngapi

cc everlenk herrera cute b Nzi Bailly5 Belo
ni rahisi kwa mtoto kuchezea maziwa ya mama yake lakini sio kugusa ko..dani za baba, nyie ni wetu tu ile europa isiwape jeuri, shauri yenu
 
Bunley Hawakung'oa Viti Kwa Sababu Hule Ni Uwanja Wao! Hata Hile ungelikuwa Ni Uwanja Wao Wa Club Wasingeliung'oa viti bali Wangeutunza Kama Wanavyolituza Basi lao.

kulikuwa na basi kumbe mtu mstaarabu na mwelevu huwa anatunza na kuthamini kitu alichoazimwa na mtu unawezaje kutunza chako usipoheshimu na kuona thamani ya kitu cha mtu?



marekebisho # hule ni ule...


# hile ni ile...
 
Naomba nikuhakikishie kua nita post any time nasikia ku-post hapa,kasome sheria za JF kwanza nani kakuambia hili ni jukwaa lako.



kidogo utakuwa unashida kama hujaweza kuelewa maana ya Manchester united special thread hapa wanakutana mashabiki wa united na kujadiliana habar za timu yao sijaona kama kuna mahali waliandika na arsenal yumo ila unakaribishwa huenda kuna kitu umekipenda humu mana ukikuta mtu mzima analilia jambo huenda kuna kitu.
 
Bahati mbaya tu mkuu kosa la kipa limetugharimu huoni hata madrid wanahangaika barca bayern city
Kufungwa, kudroo na kushinda ni sehemu ya mchezo kwa hiyo tuwe wapole, na siku zote makosa ndio husababisha matokeo so ni jambo la kawaida
 
CM - Ander Herrera: Was a threat evey time United went forward and his partnership with Pogba continues to flourish - 8 [REUTERS]
 
what a big shame for my club... Luis Enrique doesn't deserve to be a coach in camp nou.does it mean that if messi is not there we can't win?





hapo ndipo unapogundua unafiki wa sisi mashabiki anaposhinda tano au saba husikii hayo


barcelona ana point 13 machi saba yupo nafas ya nne madrid point 16 mech saba wa pili atretico madrid anaongoza point 16 mech saba taofaut ya magol yeye na madrid
 
Mutamshukuru mou baadae baada ya kuona winning mentality yenu imeturn loosing mentality
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…