Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
huu mchezo hauhitaji hasiraSiamini kama mechi imeisha...
Hawa wachezaji inatakiwa kuwalaza kwenye marumaru halafu unamwagia maji ya barafu.. Wanatakiwa wajitambue kuwa...
Wanachezea Man United
Narudia tena huyo Martial ni takataka. Hakuna mechi tuliwahi kushinda akiwepo"ana mkosi na hii timu" Msimu uliopita ametugharimu mpaka nafasi ya nne tukaikosa bado watu wanamshabikia tuu.De Gea ametugharimu leo, Zlatan anapoteza sana mipira, Mata ilibidi amalize dk 90 zote.
GGMU. United We Stand.
Narudia tena huyo Martial ni takataka. Hakuna mechi tuliwahi kushinda akiwepo"ana mkosi na hii timu" Msimu uliopita ametugharimu mpaka nafasi ya nne tukaikosa bado watu wanamshabikia tuu.
Takataka tenaNarudia tena huyo Martial ni takataka. Hakuna mechi tuliwahi kushinda akiwepo"ana mkosi na hii timu" Msimu uliopita ametugharimu mpaka nafasi ya nne tukaikosa bado watu wanamshabikia tuu.
Niliwaambia Kuwa Lesta Msimu Huu si Timu Ya Kujipima Uwezo Wenu Kisa Mumemfunga 4 mukaleta Ubishi Kujifanya Mnajua Kuchambua Soka!! Hivi Wachambuzi Wa Soka Wanaangalia Ubora Wa Timu Kwa Kumfunga Lesta ambayo imeshapoteza mwelekeo??
Anyway Poleni....
Mou aliacha kutoa maelekezo kwa wachezaji wake na alianza kufanya maombi,kusali na dua na wachezaji wake walimwona, wakaungana na kocha wao katika maombi,walinyanyua mikono na kuvumba macho ile wanaitikia "ameen" na kufumbua macho, ulimi uliwatoka kama ulimi wa mbwa aliyechoka huku mwamuzi anaonesha kati. Kwa dakika 1 hawakujua nini kinaendelea mpaka pale mwamuzi alipowambia,"maombi na dua zenu zimekubaliwa".Hivi Stoke wamesawazishasawashaje? Nilishutukia Allen ana-tap in sikuona kilichotangulia. Kama Mourinho alidhani kibarua cha Old Trafford kipo katika level ya Stamford Bridge, he was wrong. More pressured than ever.Kufuata nyayo za babu SAF ni sawa na kujilazimisha kujisaidia kama Tembo
Alien invasion...Narudia tena huyo Martial ni takataka. Hakuna mechi tuliwahi kushinda akiwepo"ana mkosi na hii timu" Msimu uliopita ametugharimu mpaka nafasi ya nne tukaikosa bado watu wanamshabikia tuu.
Narudia tena huyo Martial ni takataka. Hakuna mechi tuliwahi kushinda akiwepo"ana mkosi na hii timu" Msimu uliopita ametugharimu mpaka nafasi ya nne tukaikosa bado watu wanamshabikia tuu.
Alien invasion...
Sio mlipoteza magoli mengi, ulitakiwa useme hamna wafungaji wa magoli.Pia tumepoteza magoli mengi sana kipindi cha kwanza, hii ligi isha tushinda