Manchester United (Red Devils) | Special Thread

I've got nothing to say!
 

Atamlaumu mwamuzi na baadhi ya wachezaji.
 
Tatizo sio Pogba, tatizo ni Rooney na Fellaini.

Rooney anamzuia Pogba kutawala sehemu ya kiungo kwa kurudirudi nyuma na Fellaini amenuiziwa na David Moyes.

Hakuna sababu ya kuwapanga Rooney na Pogba kwenye first X1

Pogba hayuko huru.

Fellain ndio mchezaji bora kwenye viungo wa United,Tatizo kubwa leo lillikuwa Rooney na Pogba
 
Mkuu umeongea kwa uchungu sana
 
Diego simeone kapunguza mkataba wake na A.madrid safari ya kuja O.T ipo karibu sana....inauma sana ila inatosha Jose nenda tu
Mkuu ungekuwa daktari wagonjwa wako usingewapa matumaini. Kuwa na subira
 
Mimi sio Man u lakini nimeshasema sana hii team ni mpaka wamuache Rooney aondoke tena free ili wajenge team. Wakibaki na Rooney watafungwa sana tu
 
Wakala Wa Pogba ni Mchina! Sijui Kama Hajambadilisha Akawapa Feki!!
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Timu ya ushindi haijengwi siku moja,ni mchakato,kuweni wavumilivu,may be next year.Nasubiri na wale wahapa hapa ambao wameshajitangazia ubingwa wa VPL,watakataana bado kitambo kidogo,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…