Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Juan Camilo Zuniga from Napoli, Bologna na sasa Watford kwa mkopo.
 
Kuna mtu huku alisema Man U ni mti wenye matunda nikabisha,kumbe kweli naona watu wanadungua tu.....zamu ya nani Leo...
 
Litarudi tu
Leo hapa ni sare 2-2

Wakiacha kuwapa Watford mipira mingi ya adhabu labda wanaweza kuweka sare ya 2-2

Ila muda unayoyoma.

Dah! watani vipi tena?

Where is Pogba, Fellaini, Rooney, Herrera na Ashley Young?
 
Mourinho akitaka timu iwe na balance inabidi amtoe Rooney na Fellain kwenye first team.
 
Wakiacha kuwapa Watford mipira mingi ya adhabu labda wanaweza kuweka sare ya 2-2

Ila muda unayoyoma.

Dah! watani vipi tena?

Where is Pogba, Fellaini, Rooney, Herrera na Ashley Young?
...and the great Ibrakadabra??
 
Kabla sijamalizia comment yangu Fellaini katoa penati.
 
lol poleni. Ila nawaonea huruma refa kachangia kwa kiasi fulani kifo chenu cha leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…