Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Swahiba sijakuona kwenye kipamara kule kwetu maana dakika ya 90 yule Pweza wetu tuliemnunua kwa £ 35M kanyoosha Tegeta na Mkuranga naamini yule muuza jezi wako mkimpunguzia jukumu la kuchuuza jezi ipo siku atajaribu kutukana tusi la leo BTW tumetoa huduma ya 4G kwa Hull City
.
 
hongeren chief
 
hongeren chief

Chief ni wewe au kuna mtu ame-hack akaunti yako hapa?
Asante sana ila kesho utanisamehe nimemtuma kijana wangu Ighalo kuna point 3 utampa ni muhimu mpwa atakuja mchana hapo kwako
 
Chief ni wewe au kuna mtu ame-hack akaunti yako hapa?
Asante sana ila kesho utanisamehe nimemtuma kijana wangu Ighalo kuna point 3 utampa ni muhimu mpwa atakuja mchana hapo kwako


united watazichukua kwa arsenal acha kesho wapewe wakina ighalo
 
Chief ni wewe au kuna mtu ame-hack akaunti yako hapa?
Asante sana ila kesho utanisamehe nimemtuma kijana wangu Ighalo kuna point 3 utampa ni muhimu mpwa atakuja mchana hapo kwako
tehee teheee ni mimi mpwa, hao akina ighalo saiz hawanipi shida mmeshachokoza sasa ni mwendo wa kichapo tu.

mama yupo na vijana hataki mchezo safari hii

G.O.A.T Zlatan + our legend

Pogbooooom

Mr trophy machine
 
Hongera sana aiseee!!!!
Halafu uko online now ndo uko nchi gani nije kucelebrate nawe.....
 
Sina was was. . najua naenda kuchukua point zangu tatu , hawa watoto leo ni kuwapa mishindo ya pua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…