Poleni sn wadau lkn ktk hii game yenu MTU Wa kwanza kubeba lawama ni Jose Mourinho. Maana mfumo na mbinu aliyoaproach kuwakabili ciyu haikua nzuri ata kidogo. Kawanyima wachezaji Uhuru wamecheza kwa tension kubwa sn....
Ndio maana tuliwapa Hilo garasha na bado tunawasubiri darajani waje na kapu la magoli man u wepesi sana Jana aguero angekuepo wangepigwa goli nyingi sans
City mfumo wao wakipoteza mpira lazima wautafute kwa nguvu tena wakiwa wengi mpk waupate... Ni km Barca vile... Wanataka wao wakae yani wamiliki mpira kwa asilimia 90... Na ndicho walichofanya Jana
Aiseee Hata Mimi niko very positive sijaumia Hata!!!!.....sema tu ile kibinadam ukifikiri sana ila moyoni am happy so kama mechi nyingine tukishindwa ninavyokuwa najiskia Vibaya sana.