de bruine ndio nani..?
Huyo jamaa mnaepoteza nae muda katokea wapi?!!! Au ndio IDs kumi kumi. Mbona ghafla sana as if analijua saana hili jukwaa?!!Lazima upanic tu ushindi adimu city mana timu inayoongoza kwa kushinda mechi nyingi epl ni manchester united ikifuatiwa na aseno namo humo bado haupo tukusaidiaje ndugu? Makombe mtihani ndo mana unapagwa pagawa tu na mapicha
Ndio maana nimesema wewe ni zaidi ya MWEHU..!Mi sio mtumwa bwana mdogo wa kukalili majina ya watu wasio nihusu
Huyo jamaa mnaepoteza nae muda katokea wapi?!!! Au ndio IDs kumi kumi. Mbona ghafla sana as if analijua saana hili jukwaa?!!
Huyo jamaa mnaepoteza nae muda katokea wapi?!!! Au ndio IDs kumi kumi. Mbona ghafla sana as if analijua saana hili jukwaa?!!
Ahahaaaah...Nimegundua muda huu mkuu kumbe mweeeee
Mkuu,uliwahi kufanya nae kazi popote pale??
Kwa hali huwezi kuisaka history na lazima upagawe tu hakuna namna kwako ni vitu adimu hili jukwaa ukija jipange kweli sio unakuja na timu zako za kuzuka kama uyoga
View attachment 397743
Mna pogba
Mna cadabra
Mnafungwa na ihenacho????
Ame kweli man utd ni kikosi cha wauza jezi
Poleni sn wadau lkn ktk hii game yenu MTU Wa kwanza kubeba lawama ni Jose Mourinho. Maana mfumo na mbinu aliyoaproach kuwakabili ciyu haikua nzuri ata kidogo. Kawanyima wachezaji Uhuru wamecheza kwa tension kubwa sn....Unataka kusema kati ya Pogba na Cadabra ni yupi beki na yupi Goalkeeper kati yao hadi unashangaa wao kufungwa na Ihenacho??
Nasikitika Sijaiona hiyo Mechi yetu wazee
I never expect anything positive comment from Loserfool fansAmesahau kuwa Fellaini alistahili red for repeated nasty fouls
Mwamuzi alichezesha vizuri sana
Kwa kifupi mlizidiwa kila idara kasoro kipa tu
Kun Aguero angekuwepo leo mngekula 4
Siku hizi umehamia jukwaa la MMU?Nawasalimu na kuwapa pole bandugu.....
I never expect anything positive comment from Loserfool fans
Naelewa SAF alivyowaumiza