UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Vardy hakutumia busara kabisaIts better ukakaa chini ukajiuliza kwann mlitemwa na vardy licha ya kuwa na msimu bora kabisa ndani ya miaka 12, ukaacha kupiga ramli humu ndani wakati mafanikio yenu makubwa kwa zaidi ya miaka kumi sasa ni kumaliza juu ya spurs na utd.
Kumbe hujaelewa ata... Kwasasa man u inachotafuta ni immediate recovery si vinginevyo kocha kama jurgen Klopp ndio alifaa haswa kua kocha wa man u kwa long term plan sio mourihno atakae wapotezea taswira mwisho muishie kumtukana kua oooh Mara much knowing kama Kawaida yenyewe Mtaomba afukuzwe N ndicho kitakachotokea, Yani pale wamiliki wanaangalia delivery ya biashara zao kama itaendekea kufanya vibaya mambo yatakua ovyo na mbaya zaidi wazungu hasa uingereza katika michezo unaposema umemleta kocha flani,au mshambuliaji flani inaleta nguvu na matumaini ya kwa washabiki kama nyie lakini kiukweli kabisa kimpila mou kwa sasa yuko kwenye depresion msitegemee kama atawafikisha mahali kokote .
Kumbe hujaelewa ata... Kwasasa man u inachotafuta ni immediate recovery si vinginevyo kocha kama jurgen Klopp ndio alifaa haswa kua kocha wa man u kwa long term plan sio mourihno atakae wapotezea taswira mwisho muishie kumtukana kua oooh Mara much knowing kama Kawaida yenyewe Mtaomba afukuzwe N ndicho kitakachotokea, Yani pale wamiliki wanaangalia delivery ya biashara zao kama itaendekea kufanya vibaya mambo yatakua ovyo na mbaya zaidi wazungu hasa uingereza katika michezo unaposema umemleta kocha flani,au mshambuliaji flani inaleta nguvu na matumaini ya kwa washabiki kama nyie lakini kiukweli kabisa kimpila mou kwa sasa yuko kwenye depresion msitegemee kama atawafikisha mahali kokote .
Tunachokifanya ni muhimu sana kwasababu bila kufanya hivo utakuwa kama liverpool au arsenal unajisifu na historia ambayo wakati kiukweli tunaendelea kwenda chini na unaatract less companies kwako na hakuna fan base mpya unayoitengeneza kwasababu ya mafanikio madogo .Kuspend ni vizuri Ko kibiashara bila faida au na faida
Mbona Schneidelin huwa hachezeshwi..
Hivi wewe shabiki wa Arsenal mbona huo uwekezaji wenu wa kudumu hauna mafanikio?LCFC walikua na kikosi cha pesa madafu kabisa lakini nafikiri mliona output yake vizuri
Mara ya mwisho kuchukua EPL ni lini?Muda utasema kweli
Kumbe hujaelewa ata... Kwasasa man u inachotafuta ni immediate recovery si vinginevyo kocha kama jurgen Klopp ndio alifaa haswa kua kocha wa man u kwa long term plan sio mourihno atakae wapotezea taswira mwisho muishie kumtukana kua oooh Mara much knowing kama Kawaida yenyewe Mtaomba afukuzwe N ndicho kitakachotokea, Yani pale wamiliki wanaangalia delivery ya biashara zao kama itaendekea kufanya vibaya mambo yatakua ovyo na mbaya zaidi wazungu hasa uingereza katika michezo unaposema umemleta kocha flani,au mshambuliaji flani inaleta nguvu na matumaini ya kwa washabiki kama nyie lakini kiukweli kabisa kimpila mou kwa sasa yuko kwenye depresion msitegemee kama atawafikisha mahali kokote .
Wanaoweza kucheza mechi moja ni 11 mkuu na watatu wa akiba. timu ina wachezaji zaidi ya 20.Mbona Schneidelin huwa hachezeshwi..
Kauzwa
Mou ni jangaUnder Mourinho One youngster out, wengine wapo njiani. Kati ya wachezaji wachanga(from academy) walionyesha promising under LVG McNair alikuwa top 5.
Hawawezi kupoteza muda wao ku predict nini timu yao itafanya baada ya usajili wa takuma, wameishajua wenger hana mpango na kikombe, yeye top 4 basiii.wanakuja kujiliwaza uku
Mou ni janga
Bookmark thisWenger ni genius
Utakuwa unanifunsha basics za soka, my question wasn't about that though.Wanaoweza kucheza mechi moja ni 11 mkuu na watatu wa akiba. timu ina wachezaji zaidi ya 20.