NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Kuna game ya CL next week......So SAF kaangalia uzito wa opponent wake na akaona Squad aliyoianzisha inafaa.....Its a Matter of time.....
Ni kweli mkuu lakini Premier League title iko sokoni kwa kila mmoja na hawa watoto huwa wanatusumbua sana kwao sasa sijui babu leo amewaza nini
Hii mechi ina uzito wake na West Ham wako kwenye historia ya kutunyima point muhimu kwao ambazo zinatuathiri na kutufanya tupoteze kombe la EPL