Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna game ya CL next week......So SAF kaangalia uzito wa opponent wake na akaona Squad aliyoianzisha inafaa.....Its a Matter of time.....

Ni kweli mkuu lakini Premier League title iko sokoni kwa kila mmoja na hawa watoto huwa wanatusumbua sana kwao sasa sijui babu leo amewaza nini

Hii mechi ina uzito wake na West Ham wako kwenye historia ya kutunyima point muhimu kwao ambazo zinatuathiri na kutufanya tupoteze kombe la EPL
 
Looks like you're in trouble today, 2-0 dk ya 25


bIG TROUBLE MEN, halafu hata sioni dalili ya ku-equalize zaidi ya kuongezwa mengine....kikosi dhaifu kwa West Ham wakiwa nyumbani

Hawa watoto wanaweza kutupiga stuli leo
 
Ni kweli mkuu lakini Premier League title iko sokoni kwa kila mmoja na hawa watoto huwa wanatusumbua sana kwao sasa sijui babu leo amewaza nini

Hii mechi ina uzito wake na West Ham wako kwenye historia ya kutunyima point muhimu kwao ambazo zinatuathiri na kutufanya tupoteze kombe la EPL

SAF knows this....may be 2nd half ataweka full mziki....Angalieni tu isije kuwa Toooooooooo LATE.......Usijali....kama mlirudi game ya B'Pool then hata hii mnaweza kurudi...Au vp?????
 
Smalling leo anacheza sana Corner balls......na lile shuti la mkorea Park J S ni yeye ndo kamlenga kipa au Green leo yupo fiti?????????
 
19th record title for Manure??? My foot!!

Liverpool will always show the way first....pretenders like Manure will remain copycats forever!
 
Smalling leo anacheza sana Corner balls......na lile shuti la mkorea Park J S ni yeye ndo kamlenga kipa au Green leo yupo fiti?????????

Mkuu mastimu yalinikamata kidogo nipige TV....Paka sijui vimacho vyake havijamuona golie kwenye position?
 
SAF knows this....may be 2nd half ataweka full mziki....Angalieni tu isije kuwa Toooooooooo LATE.......Usijali....kama mlirudi game ya B'Pool then hata hii mnaweza kurudi...Au vp?????

Hoping so ila katumbo kanauma mkuu kila mara watoto wanapiga counter kiti cha moto

Hope 2nd half mziki utafanya ukweli
 
Kweli man u hamshikiki mpk dakika ya 25 mshachapwa 2 kwa 0 leo aibu inawanyemelea
 
Huyu refa vipi?!!!!....hiyo faulo ya Vidic ilitakiwa red card, alikuwa beki wa mwisho
 
HT WH 2 MANU 0...nadhani akina berbatov na yule latino wataingia kuja kuokoa jahazi la SAF
 
Hahahaha! nimekuja washa tv late nakutana na hii scoreboard....eti nko kufungua JF may be nkakutana na bango tofauti, kumbe yaleyale. Duh! leo mbn kazi tunayo.
 
Nimepita tu hapa kumjulia hali mgonjwa, ni mapema mno kuanza kuwakusanya ndugu na jamaa kwenye kikao cha dhararula kwani madaktari wana dakika 45 zimebaki za kuokoa maisha ya jirani yetu lol.
 
Hahahaha! nimekuja washa tv late nakutana na hii scoreboard....eti nko kufungua JF may be nkakutana na bango tofauti, kumbe yaleyale. Duh! leo mbn kazi tunayo.
Za siku mkuu? Vipi international break uliitumia vizuri ? Lol
 
It'll be a big mistake if WH play a defensive game (after HT) MANU are still capable of winning this game by 3 or even 4 goals.
 
Back
Top Bottom