Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Time will tell kuna watu watakula matapishi yao baadayeHoullier is right, na amekuja "mchafuzi" atawapa vikombe kadhaa then timu itabomoka kama babeli...
Time will tell kuna watu watakula matapishi yao baadayeHoullier is right, na amekuja "mchafuzi" atawapa vikombe kadhaa then timu itabomoka kama babeli...
Msaga sumu katika ubora wako....Utasaga chupa soon!Ed n Edd nEddy Kweli kabisa Man utd ni kiwanda cha kuchuma pesa, traditional yao imekufa kama nzi chumvini.
Mahaba ya ajabu hayo unaanzaje kumpenda adui yako na kumshauri kuwa kapotea ?jamaa wanaugua sana hasa wakifikiria timu yao inavyochechemea. Sijui ni tetesi nasikia wanafanya maongezi na Evans sasa hicho ndio kiwango chao.Hivi adui yako akikosea si ndio unatakiwa ufurahi? rubaman kwanini unaumia na matumizi mabaya ya man utd? Mimi nimefurahi sana kuona mnaendeleza tradition kumsajili Takuma, whatever his name is.
Sio Klopp tu, wengi walisema hivyo. Hata ma 'experts' wa humu jf wanasema hivyo!
Nyie Chelsea tutawanyosha msimu huu mpaka mshuke daraja kabisachezaji linakimbia kama lina mawe miguuni bado unalinunua kwa mihela yote hiyo ..............
chezaji linakimbia kama lina mawe miguuni bado unalinunua kwa mihela yote hiyo ..............
Nyie Arsenal mna kitu gani cha ku-offer?Kumshawishi mtu aje kucheza Europa kutoka moja wapo ya big 4 teams in Europe unafikiri bila kumpa hela nyingi utampa BTW man u hawana kingine cha ku-offer zaidi ya pesa
Nyie Arsenal mna kitu gani cha ku-offer?
Subirini tuwanyooshe msimu huu mpaks maji mseme "mma" dadeki....!




Wivu unakusumbua mkuu,chezaji linakimbia kama lina mawe miguuni bado unalinunua kwa mihela yote hiyo ..............
Man U ni klabu kubwa na tajiri,, acha kutokuwepo kwake yuefa kubwa Pogback angeweza pata ofa kubwa zaidi ya hiyo ya mani yuu na timu kama aseno, liva na nyinginezo na akakataa vilevile,Kumshawishi mtu aje kucheza Europa kutoka moja wapo ya big 4 teams in Europe unafikiri bila kumpa hela nyingi utampa BTW man u hawana kingine cha ku-offer zaidi ya pesa
Hii nimeielewa
Ok, tusubiri ligi ianzeHuu msemo unasemwa sana lakini nikukumbushe tu kwamba mpira ni dakika tisini.
Ok, tusubiri ligi ianzeHuu msemo unasemwa sana lakini nikukumbushe tu kwamba mpira ni dakika tisini.