Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1470590401092.jpg
1470590419674.jpg
 
Eti Wenger kamsagia huyu kwamba ni mzee kwa kuwa ni 35 YO hafai kwa BPL. Kishampa motisha wa kupata hat trick tutakapocheza nanyi halafu Wenger aanze kutoa excuse zake za ajabu ajabu.
Nimesoma hiyo habari. Anasema umri na ligi ya EPL itamsumbua.
 
Jose Mourinho on his decision to bring off Juan Mata, who was only a substitute himself: "I think he played very well. He gave me exactly what i needed.


"The rules allow six changes, I had made five and I wanted to stop the game. I need to take off the smallest player because we are expecting a lot of long balls. He is the smallest one.


"We want to win. Everyone is happy in the end."
 
Jose Mourinho on his decision to bring off Juan Mata, who was only a substitute himself: "I think he played very well. He gave me exactly what i needed.


"The rules allow six changes, I had made five and I wanted to stop the game. I need to take off the smallest player because we are expecting a lot of long balls. He is the smallest one.


"We want to win. Everyone is happy in the end."
Mi mwemyewe nlifurahi tyuu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Haya mlo kuwa mna mlaum mou kajieleza
Kwa nn alimtoa mata

"Juan played well. He gave me exactly what I need. I have to take the smallest player off because the game will end in long balls."
Mi mwemyewe nlifurahi tyuu
Still timu bado sana Carrick,Rooney,Mata wana kazi sana so far naona De Gea,Baily,Zlatan,Valencia , Shaw +Pogba wana uhakika wa namba wengine kazi wanayo
 
Hivi Maurihno ana maana gani kumtoa Mata (substitute?) Inamvunja morale ..
Mourinho..amesema..alimtoa..Mata...kwasababu...alitegemea...long..ball...from...Leicester....alipoangalia...nani..ni..mfupi..kuliko..wote...akamuona...Mata...na....asingeweza..kuwatoa..wachezaji...warefu...kwasababu...yakudefend...long..ball...
 
Back
Top Bottom