Leicester 1- 2 man u















ni shangwe tu.. Naingia dar mimeno yote nje...Labda kaumia...mm mwnyewe sijamwelewa ila kama hajaumia bas hizi zitakuwa chuki za kijinga sanaHivi Maurihno ana maana gani kumtoa Mata (substitute?) Inamvunja morale ..
anampatia huduma sahihi KadabraaaValencia anaendelea na assists zake
Lol kwanini unasema hivyo?
Mie nilijua anamtoa Kadabra. Mourinho kaniboa sanaLabda kaumia...mm mwnyewe sijamwelewa ila kama hajaumia bas hizi zitakuwa chuki za kijinga sana
Mbona unatafta kukasirika bila sababu mkuuMie nilijua anamtoa Kadabra. Mourinho kaniboa sana
Mpira wa kawaida mnooo! Labda kwa vile ndio msimu unaanza NA ukizingatia wachezaji wengi ni wagenHahahaha level ya mpira wa leo hauna tofauti na wa LVG, kuna mechi mlichezaga kama hivi msimu uliopita. Ingawaje mechi hii sio kipimo mtakavyokuwa bado mnapoteza possessions katikati kama last season or two.
Hivi inawezekana akawa hajaumia au??Labda kaumia...mm mwnyewe sijamwelewa ila kama hajaumia bas hizi zitakuwa chuki za kijinga sana
Morally kwa mchezaji inpungua banaMbona unatafta kukasirika bila sababu mkuu
Haikuwa na ttzo ile sub