Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Lol hujaelewa au unajifanya hujaelewa. Kwanza Wenger hajamkejeli Mourinho kama unavyodai. Wenger aliongelea "PRICE" za kununua wachezaji in general zilivyokwenda juu au Crazy kama alivyosema kitu ambacho ni kweli. Nenda kasome article aliyoongelea hili. Acha kuhamaki kama vile umetukaniwa mzazi wako. Mchezaji kama Lukaku wanataka zitupwe £60-£70M kama sio uchizi ni nini? Michy Batshuayi amenunuliwa kwa £33M ambazo alinunuliwa Sanchez miaka 2/3 iliyopita kama sio ku-overprice ni nini? Na kuna mifano kibao sio Pogba tu ambaye price yake £100M+ ni kubwa wengi wanakubali. Unakimbilia kudandia media bandwagon ya Wenger vs Mourinho beef bila kufikiria hawa waandishi wanataka kuuza news.
 
Wakuu naomba muwe mnapost update za hii game inayoendelea.. Nipo safarini , nmejaribu kucheki kwa livestream ila mtandao ndo unakata kata... #GGMU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…