Wewe nawe akili zako ni fupi hakuna mfano hata kusoma huwezi, nani aliosema pogba ni mchezaji wa Man U? shule zitusaidie banah sio kujaza madawati yalio pigiwa harambee na serikali, nimeandika hivi wenger amemkejeli mourihno kwa pesa anazotalajia kumsajili pogba sasa hujaelewa neno KUTALAJIA ubongo wako mweupe sana...