Manchester United (Red Devils) | Special Thread


hili toto balaaa
huyu mtoto mhindi mwekundu ana balaa kubwa,mi naona ni mzuri kuliko hata Berba kwani ana speed na ni munusaji mzuri wa magori,mtoto huyu angepata mawinga wa sampuli za akina Ronaldo au Becks,nisingekuwa nafikiria kwenda kwa babu wa Loliondo kupima presha Man U wakiwa uwanjani
 

Yani Wacha1 ulitutosa, hata hongera?!! au huamini kuwa tumeshinda na kusonga mbele?!!

AW asante, pongezi zimefika, Chicha ni noumeer...nahisi anachukua nafasi ya Walcott kwangu sasa!!

Mfarisayo, thanx kwa mapicha...pia hongera kwa ushindi na fellow Manure fans!!
 
Dogo Chicharito ni balaa yaani kasi yake na akili yake ipo sharp mno uwanjani. We acha tu tuendelee kusherehekea ushindi.
 

...Chicharito ni "incarnation" ya Michael Owen during his peak!...ana killer instincts,
bahati mbaya Rooney ni mjukuu mpendwa wa Fergie.


...mnh, BJ ulivyofurahi!
Simlaumu Wacha1 kujiburudisha na tennis wakti huu,
tunasubiria another english team itayopangiwa na Barcelona tuondoe machungu yetu.
 
Hii mechi dakika za mwisho karibia nizime tv, maana pressure ilikuwa inapanda balaa.

Subirini kipigo ndiyo sababu sikuangalia mechi mbofu mbofu.

kwa kweli hali ilikuwa mbaya yani wes brown haaminiki kabisaaaaa

Du!h ndio mpira wenu huo chacha chijui unashangaa nini? Lini mlicheza kabumbu ya kuangaliwa duniani kote, mnashindia bahasha tena kama unafahamu siri za OT ndio usiseme kabisa kubebwa kama kawa. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Mkuu usilalamike sana its not over until is over .... .... .... ... Aibu itakayowakumba mwaka huu mtajuta khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Nasikia ulijificha hasa baada ya kuona mpira kama ule wa mchangani? Mambo bado tulia, njama za wanoko zinajulikana niliwapa pongezi hata kabla ya mechi kwa sababu matokeo yalikuwa yamepangwa tayari pale OT.
 



Barcelona? We're the best team in the world,
warns Man United hero Hernandez





Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
So we are a debt ridden club that can afford to bribe both the FA na UEFA? Interesting stuff kwa kweli.
 
Michel Platini and his cronies hapendi timu za Ingerlund (England) zifanye vizuri kwenye UEFA, katika timu tatu zilizobaki basi lazima mbili zitakutana either kwenye 1/4 au 1/2 final ili zipunguzane.

Wale Barca tukicheza nao mechi ya kwanza naomba iwe kwao, mechi ya pili tutapaki basi a la 2008.
 
Word is Sir Alex Ferguson kapewa 5-match touchline ban na fine ya £ 30,000 hii ina include semi final ya FA cup dhidi ya man citeh. Adhabu itaisha siku tunacheza na arsenal.
 
So we are a debt ridden club that can afford to bribe both the FA na UEFA? Interesting stuff kwa kweli.


Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ukweli unauma khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee karibu kwenye real world.

Word is Sir Alex Ferguson kapewa 5-match touchline ban na fine ya £ 30,000 hii ina include semi final ya FA cup dhidi ya man citeh. Adhabu itaisha siku tunacheza na arsenal.






Hana shida huyu .... ..... .... ... rant boy ... ..... ...

khe khe khe kheeeeeeeee

 
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ukweli unauma khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee karibu kwenye real world.








Hana shida huyu .... ..... .... ... rant boy ... ..... ...

khe khe khe kheeeeeeeee



Umeona ehh?, chachca apo chijui FA wanatubeba au brown envelope hazijafika kwa warithi wa kina Dein? khekheeee! chichi hatujali hilo, mwaka huu ni TREBLE no matter wat!
 
Umeona ehh?, chachca apo chijui FA wanatubeba au brown envelope hazijafika kwa warithi wa kina Dein? khekheeee! chichi hatujali hilo, mwaka huu ni TREBLE no matter wat!

Kwa mpira mnaocheza hamna wasi wasi ni treble tu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
<p>
<b><font size="4"><font color="darkred">Kwa mpira mnaocheza hamna wasi wasi ni treble tu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee</font></font></b>
</p>
<p>&nbsp;</p>

Usiwaze kijana....
Ndo u u mpira ambao umetufikisha last 8 ya CL, nusu fainali ya FA na kuwa kileleni EPL. Vp nyie?, wazee wa beautful game display?, msimu huu quadruple au sio?, khekhee kheeeeeeeeeee!
 
<p></p>
<p>&nbsp;</p>

Usiwaze kijana....
Ndo u u mpira ambao umetufikisha last 8 ya CL, nusu fainali ya FA na kuwa kileleni EPL. Vp nyie?, wazee wa beautful game display?, msimu huu quadruple au sio?, khekhee kheeeeeeeeeee!


Hii mechi dakika za mwisho karibia nizime tv, maana pressure ilikuwa inapanda balaa.



Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee its not me who said that!
 
Tuangalie statistics za Fergie

FA wamemrahisishia kazi SAF maana akitoa interview na kucomment anakula ban asipocomment analimwa faini, tuone BBC na Sky kama watawafungulia mashitaka FA kwa kukosa access ya kumfanyia interview mmoja wa makocha wa timu za kwenye EPL as per contract.
 
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee its not me who said that!

Khekheeeeeeeeeeeeee Kheeeeeeeeeeee!
Jibu swali; Nyie MNAOCHEZA kandanda MURUA na MARIDADI sanaaaaaaaaaaa! mko wapi?

Loooooooooooooooooserz!
 
Uzuri wa Rehema ni kwamba upuuzi wa kina Clichy, Gibbs na Kochecily hautaki, yy kukukata mbata uwanjan haoni shida! khekhekheeeeee! AW ameona amlete mwalimu wa nidhamu Emirata, vijana lazima wanyooke aisee..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…