Hii mechi dakika za mwisho karibia nizime tv, maana pressure ilikuwa inapanda balaa.
Wes Brown nishamzoea maana jamaa anaongoza kwa kujifunga,. Ebanae Rooney kacheza vizuri leo I think jamaa anaweza kuwa perfect replacement ya Scholes.kwa kweli hali ilikuwa mbaya yani wes brown haaminiki kabisaaaaa
Wes Brown nishamzoea maana jamaa anaongoza kwa kujifunga,. Ebanae Rooney kacheza vizuri leo I think jamaa anaweza kuwa perfect replacement ya Scholes.
Wachezaji wetu mbona wanahumia sana? Physios inabidi waangalie nini kinachoendelea uko Carrington.
Hongereni sana wakuu. Safari njema huko mbeleni.
Huyu dogo chicharito mkali sana.
kwa kweli hali ilikuwa mbaya yani wes brown haaminiki kabisaaaaa
Watani zetu sijawaona kabisa nadhani wameenda loliondo kwa babu kushusha presha zao
April ni mwezi muhimu sana kwetu..
2nd – West Ham (A) – Jamaa wako kwenye form sana siku hizi plus uwa wanatusumbua sana especially kwenye mechi muhimu.
5th/6th – UCL QF (A/H) – ??? Naomba tucheze na Shalke.
9th – Fulham (H) –
12th/13th – UCL QF (H/A) – ???
16th – FA Cup Semi – Tunacheza na mahasimu wetu, mechi muhimu sana hii kuliko ata hiyo ya UEFA.
Sometime huwa najiuliza hawa UEFA lile kapu la bahati nasibu, lina 'abracadabra' English teams Vs Barcelona? [/FONT]
Nahisi jinamizi la kupangiwa Barcelona, Spurs au Chelsea linawanyemelea....!
Dont worry na Fulham, fmr Devil -Mark Hughes atawapa japo Draw.