Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahah yote magarasa Yale.

Eric Bailly utakubali tu.


14eb2c95929119038c853668d242204a.jpg
 
Kuna clip moja inasambaa kwa kasi sana FB nimejaribu kuinyofoa nimeshindwa.!!

Kama una account Fb sach jina la Ackbely Mbyellah jamaa kaishare Utaona. Kifupi Dogo yuko vizuri sana. Ni namba nne bomba kabisaaa, Hii itakuwa Bonge la Combination sambamba na Smalling.

Ukuta huu ninaimani utafikia kiwango cha ukuta wa VIDIC NA FERDINAND enzi za Babu.

BACK TANGANYIKA
Oooh Asante sana ngoja nikaisake....
 
Nick Powell & Victor Valdes have been released by Manchester United after their contracts expired
 
Bild wanasema tumeweka mezani €30 kwa Mkhitaryan, jamaa kabakiza mwaka mmoja kwenye mkataba wake na anataka kuondoka, anko wenger nae anamnyatia kwa nyuma,

Kama hii dili itakua kweli nadhani ndio itakua signing of the summer kwangu.
 
Back
Top Bottom