Giggs nae ndio kwaheri....?LvG and his entire backroom staff were sacked at 8:45 am this morning by Ed Woodward. [Mail]
Giggs nae ndio kwaheri....?
Giggs amekataa mwenyewe ilaHili ndio kosa Man watakuja kulijutia sana nasema sana haitakuwa na tofauti kama tulivyomwachia Pogba.
Kuna watu wanaokufanya wanaipenda man u na kutushauri na ku tulaumu kwann tumemfukuza lvg, tuacheni na timu yetu
Duhh!!!! Kama hizi habari ni kweli Giggs kagoma aiseee itakuwa huzuni sana kwangu, ila niko positive na ujio wa Mou siwezi hukumu kabla sijaona akitutendea kitu gani, najua watu hubadilka kadri muda unavyobadilika na mazingira yanavyobadilika..................Welcome Mou at OT na jiskie uko nyumbani kwako kuleeee wapi tena ahhhhh UrenoGiggs amekataa mwenyewe ila
Kuna ki website kime sema alihakikishiwa kaz ila aka goma
Naye hajapenda nadhan kuja kwa Mourinho
.Mtani umebadili avatar nikakusahau kabisa hahahaha, maoni yako juu ya mourihno upo positive tusubiri aanze kazi...Duhh!!!! Kama hizi habari ni kweli Giggs kagoma aiseee itakuwa huzuni sana kwangu, ila niko positive na ujio wa Mou siwezi hukumu kabla sijaona akitutendea kitu gani, najua watu hubadilka kadri muda unavyobadilika na mazingira yanavyobadilika..................Welcome Mou at OT na jiskie uko nyumbani kwako kuleeee wapi tena ahhhhh Ureno![]()
![]()
![]()
.
Hahahahha mtani bado nalichekelea kombe letu la mbuzi halafu mwakani tunapata kombe la Ng'ombeMtani umebadili avatar nikakusahau kabisa hahahaha, maoni yako juu ya mourihno upo positive tusubiri aanze kazi...

kombe la ng'ombe nimelimiss sana aiseeeehhh.... but sijafurahia sana ujio wa "the special one"Hahahahha mtani bado nalichekelea kombe letu la mbuzi halafu mwakani tunapata kombe la Ng'ombe![]()
Hahahaha una mambo wewe,hivi mtani shemeji yangu ni chama gani....Hahahahha mtani bado nalichekelea kombe letu la mbuzi halafu mwakani tunapata kombe la Ng'ombe![]()
Mkuu ukiwa unachukizwa na mambo mazuri nakuwa kama sikusomi vile, club lazima ifanye changes to bring more success.......tangu babu Ferguson kutuaga club haijafanya mazuri zaidi ya kutumia pesa tu bila kukuza mapato...mpira ni uwekezaji mkuu kama unavyo wekeza kwenye biashara yotote kwa kutegeme faidakombe la ng'ombe nimelimiss sana aiseeeehhh.... but sijafurahia sana ujio wa "the special one"
Man U -FA Cup.
Man City - Capital One.
Leicester City - Premier League.
Arsenal - " We finished above spurs and Manchester"
Aiseeee ulibaki wewe kutokea hapa karibu sana..... tusihukumu sana pengine atatuprove wrong na usisahau tuna vigezo na masharti yetu atanyooka tu.....kombe la ng'ombe nimelimiss sana aiseeeehhh.... but sijafurahia sana ujio wa "the special one"
Yuko ChelseaHahahaha una mambo wewe,hivi mtani shemeji yangu ni chama gani....

Yuko Chelsea![]()
![]()
jiandae kushindia maharage week nzima, hela za saloon mapema anza kuweka booking kwa mchepuko, mnaishi zizi moja ama yeye yupo mbali nauliza tu maanaHiyo ya £4M+ si imekatwa e eeeh? According to mkataba ni £8M+,hajatufikisha top four kalambwa nusu yote, poleeee LVG ...Van Gaal will leave mufc with a pay-off of £4,554,000, plus a £400,000 bonus for winning the FA Cup.