Glory hunters ni wengi sanaBraza, nenda kajifunze vizuri kuhusu timu unayofikiri unaishabikia. Yaani unasema suala kukuza vipaji siyo philosophy ya #ManUnited? Unaongelea kuongezeka kwa watazamaji uwanjani, huku ukisahau miaka 10 iliyopita OT ndiyo uwanja unaongoza kwa kuwa na 'full stadium' mara kwa mara. BTW kuna mpango wa kupanua OT ili iwe na 80k seats capacity. Toka lini mauzo ya jezi yamepungua kiasi kwamba ati Maureen ndiyo aje kuyaongeza? Alivyokuwa Rent boys mauzo yao yalipita ya #ManUnited hata baada ya SAF kuondoka?
Kwa ujumla nina mashaka na 'ushabiki' wako...
Tena tunawatesa mara wanaenda kujisomea huku wanawashikisha adabu watu wazima kama Peter na mwenzie wa man city.Pamoja na yote aliotufanyia LVG ila hili la kuleta hawa watoto tutamkumbuka.TeamWazee wanachukia
Blind kachana mkeka wako.Ya nini mkuu
Mourinho anapenda vijeba......Nitafurahi sana kama Manchester united haitamchukua Mourinho,hafai kabisa kuwa kocha wetu,kwa sasa hivi timu inaelekea kuwa ktk mstari sahihi,wachezaji wengi kutoka academy yetu wanaandaliwa kuingizwa ktk kikosi cha kwanza na ni wazuri sana,hawa ndio watakaotengeneza uti wa mgongo wa Manchester united ijayo, naiona class of 92 ikirejea Manchester. Kitendo cha Mourinho kuja kitaashiria kuvuruga mipango yote hii ya ujenzi wa Manchester united mpya. Mourinho anapenda kufanya kazi na wachezaji wenye umri mkubwa kuliko makinda. Hakika hatufai kabisa.
Post yako kuhusu kukuza vipaji imenikumbusha kuna picha moja wameisha kuwa watu wazima wamepiga jeans zao wanatembea mwanzo alikuwa Beckham kisha nick butt halafu Scholes na naville brothers mwisho giggs.Hata hawa kina fosu na Rashford wametoka wapi kama hatujawapika wenyewe?kweli jamaa amechemkaBraza, nenda kajifunze vizuri kuhusu timu unayofikiri unaishabikia. Yaani unasema suala kukuza vipaji siyo philosophy ya #ManUnited? Unaongelea kuongezeka kwa watazamaji uwanjani, huku ukisahau miaka 10 iliyopita OT ndiyo uwanja unaongoza kwa kuwa na 'full stadium' mara kwa mara. BTW kuna mpango wa kupanua OT ili iwe na 80k seats capacity. Toka lini mauzo ya jezi yamepungua kiasi kwamba ati Maureen ndiyo aje kuyaongeza? Alivyokuwa Rent boys mauzo yao yalipita ya #ManUnited hata baada ya SAF kuondoka?
Kwa ujumla nina mashaka na 'ushabiki' wako...
Unaweza kuta ni mamluki tu huyo mkuu hizi kauli ni za kwenye vibanda umiza ... hahaha kuna vitu ni zaidi ya comedy Mou kumpita Sir Alex teeehe teeehe basi na mimi nitahamia hukuBraza, nenda kajifunze vizuri kuhusu timu unayofikiri unaishabikia. Yaani unasema suala kukuza vipaji siyo philosophy ya #ManUnited? Unaongelea kuongezeka kwa watazamaji uwanjani, huku ukisahau miaka 10 iliyopita OT ndiyo uwanja unaongoza kwa kuwa na 'full stadium' mara kwa mara. BTW kuna mpango wa kupanua OT ili iwe na 80k seats capacity. Toka lini mauzo ya jezi yamepungua kiasi kwamba ati Maureen ndiyo aje kuyaongeza? Alivyokuwa Rent boys mauzo yao yalipita ya #ManUnited hata baada ya SAF kuondoka?
Kwa ujumla nina mashaka na 'ushabiki' wako...
Hahhaaaa sawa mkuuBlind kachana mkeka wako.
Ni kweli mkuu...Blind ni unsung hero kwenye mechi nyingi sanaBlind ndiye alistahili! Alimweka Lukaku mfukoni..
Umemsahau Boswich Jackson na Varela...imagine aje mtu kuvunja yote hayo na aanze upya tenaPamoja na kuwa simkubali LVG ila kumwaleta hawa watoto nampa pongezi sana.....Martial,Rashford,Mensah,Lindgaard ni raha sana kuwatazama uwanjani.
Anatakiwa mtu wa kuendeleza hii timu sio mtu aje aanze kununua wachezaji wa 50m pounds washajichokea hawana motivation yoyote!Umemsahau Boswich Jackson na Varela...imagine aje mtu kuvunja yote hayo na aanze upya tena
huo utakuwa ni bonge la uwendawazimu
Pamoja na kuwa simkubali LVG ila kumwaleta hawa watoto nampa pongezi sana.....Martial,Rashford,Mensah,Lindgaard ni raha sana kuwatazama uwanjani.
Kwa maoni yangu Rooney bado mzima ni mfumo ndio unamuharibu wazza hajachacha kiasi hicho na ni mpiganaji wa kweli hata akiwa ground uhamasishaji wake bado unahitajika.Naona kama Rooney akirudi ataaribu pale mbele