...I wish, I wish nyiiiingi...Papizo bana, kubali tu yaishe!
You though It was all over? It is now!
...pamoja mkuu, was a nice weekend kwakweli.
Wewe jifanye hukuangalia mpira wala hujui matokeo, jifanye kushangaa shangaa!
Big Up JF sports fans.
sasa hapa Chelsea watawapiga tena...koz so far mpo Unstable......Then tukikutana tunakata Funua na Ubingwa juu....Arsenal mwaka huu wetu........
Ndo tunatangaza ratiba ya msiba,kwamba maturubahi na vifaa vya matanga vitachukuliwa rasmi J4..........kwahiyo tutaomboleza hadi J3.
taratiibu nimepokea kilo mbili hapa........kama kawaida na jamaa ametangaza leo iwe mwisho wa kuwekeana pesa hivi...mara tatu zote mi nashinda.....
Unavyoadmit Mauchungu uliyonayo mpk nakuonea Huruma......Pole sana ndg yangu ndo soka hili.......
Wakuu wa Arsenal nadhani tutakuwa pamoja kwenye jukwaa lenu hapo jumanne nadhani sio mbali sana.....so tutapeana habari zaidi......ila tuwe wote tusiingie mitini.....
Wakuu wa Arsenal nadhani tutakuwa pamoja kwenye jukwaa lenu hapo jumanne nadhani sio mbali sana.....so tutapeana habari zaidi......ila tuwe wote tusiingie mitini.....
usitutumie sisi Gooners kama Ngoswe.......Watu wa kukacha baada ya kupata matokeo ambayo hawajayatarajia ni The BLUZZ....sie wavumilivu wa shida na raha...na mara zote huwa tupo....so dont worry just b there n u will find us there....
...Be our guest J'4, ha ha ha!
...hongera sana maazeeee! Kibajaji kimekamilika na vitairi vyake vitatu kama ulivyosema, ha ha ha!
...umeona ee? ha ha ha, EQLYPZ be strong man, the title is still withing your grasps...mkitaka of course.
...kama kawaida, ARSENAL TOGETHER WE STAND,....be our guest.
BTW, bahati mbaya sana Puyol na Picque hawatacheza, ...inanikumbusha pengo la RIO na VIDIC.
Mpira duara bana...!
Ngoja nikawape hongera Liverpool kwenye jukwaa lao. Tumeongeza hits za kutosha kwenye jukwaa lenu leo, maana hamuishi kelele oooh, hatuchangii majukwaa mengine.
Nilikuwapo.
~Mbu~
leo kunaweza kukawa na misiba miwili maana naona spurs wako nyuma dakika ya 23 inakwenda.asalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam aleykuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuum wakuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wa JUKWA HILI,.
Poleni sana kwa misiba mfululizo. Siwezi kuongea sana kutukana na matokeo yangu ya jana. Nimebaki nikisema watoto wa Wenger sasa wasaidiwe vipi.
leo kunaweza kukawa na misiba miwili maana naona spurs wako nyuma dakika ya 23 inakwenda.
I just can say that today was a good day... Thanks scums kwa kupanua hawa manureKhe khe khe kheeeeeeeeeeeeee bado tunachubiri mechi lukuki leo na kesho weye mwaya mbona unawahara sana Vijana wa Emirates? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee