Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jamani hivi Van Gaal anaandika nini? Naona anamaliza peni sijui ya ngapi hii.
Anaandika mbinu kizungu "TACTICS"

kuna jamaa wanadai eti huwa anasolve Logarithm kuna watu wana utani mbaya sana

LGV In
 
i can see manure scoring another Three goals

FT itakuwa 4-1

but am dreaming the impossibles

man utd wanapita

#BELIEVE

CC😡 RRONDO
 
Man u nyie Ni come back King sasa uwanjani mnaondoka vp Kuna Fire mna Exit mashabiki mapema chenga twawala sio kesho tena bwahahahahaha.
 
Man u nyie Ni come back King sasa uwanjani mnaondoka vp Kuna Fire mna Exit mashabiki mapema chenga twawala sio kesho tena bwahahahahaha.
Mzee nashangaa jamaa wanakimbia uwanja wao hivi hivi

Kuna uwezekano kabisa wa Goli 3 hapa

Teh teh teh
 


Do not loose HOPES guys weekend hii tunamuua man city Etihad pale

GGGMU

#BELIEVE
 
Kusema ukweli leo Man U mmecheza soka!Leo mmeleta upinzani

Tatizo kubwa ni experimental squad mliyo nayo!Wachezaji wengi wa Man U hawana uzoefu wowote
 
Naona Van Gaal kamaliza kuandika kakunja daftari Lake anapiga makofi.
 
Coutinho ni magician...
 
Man U Leo imecheza vizuri tatizo Lao lipo kwenye real winger zao za gombania goli hakuna siku hizi, wanahitaji wale winger WA kweli Martial akawa number 9. Fellaini nafikiri Na uhuni wake ndio best player Wao WA game mbili hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…