Duuuh wamerudisha!! Hapa tunachomoka kweli hapa!!!
Sijaona msaada wa smaling, carick, blind na namba saba (ambaye kiuhalisia ndiye msaidizi wa varela) walipoona beki namba mbili kazidiwa!!! Lilikua ni jukum lao kuangalia namna ya kumzuia cotinho baada ya kumtoka verela!!!
Varela inabidi apumzishwe kipindi cha pili!!!