Moja nimemjibu shabiki wa man u mwenzangu, nyingine nimemjibu mkaanga sumuUnajitekenya mwenyewe alafu unacheka mwenyewe soma comments zako hapo juu alafu toa ufafanuzi upya kwiiiii kwiiiii au kama vipi zikane kua moja haujaandika wewe maana haueleweki umesimama kwenye jambo gani.
Niko hapa kwa mpemba nakunywa kahawa nikisubiri jibu lako hakika sikai mbali na jamvi hili mpaka nikusikie usirudi mapangoni tu.
Ivi ww team yako yenyewe jipu kutwa kwenye nyumba ya jirani ilihali kwako una matatizo...Unajitekenya mwenyewe alafu unacheka mwenyewe soma comments zako hapo juu alafu toa ufafanuzi upya kwiiiii kwiiiii au kama vipi zikane kua moja haujaandika wewe maana haueleweki umesimama kwenye jambo gani.
Niko hapa kwa mpemba nakunywa kahawa nikisubiri jibu lako hakika sikai mbali na jamvi hili mpaka nikusikie usirudi mapangoni tu.
Uko serious kweli ?unaongelea hii Liverpool ambayo haijachukua ubingwa wa EPL miaka 26 si bora aende Porto. Kipa wa Liverpool ni Mignolet kuhusu De Gea endelea kusubiri kama Gerrard alivyosubiria ubingwa wa EPLMajira ya joto ni bora Degea akaondoka tu, ni huruma sana kuona goalkeeper wa kiwango kile anacheza kwnye timu ambayo ni mediocre km ile, goalkeeper wa kiwango kile hatakiwi kukosa michuano mikubwa km UEFA, ondoka tu Degea nenda Madrid or liverpool ya Klopp uje utimize ndoto zako, Old Trafford ya Ferguson ndo ilkua Theatre of dream hii ya sasa ni Theatre of curse
Unaonyesha jinsi gani unavyotuogopa unatamani tutolewe mapema ili tusikutane.....kwani bado una maumivu ya zile tatu....?Leo CHA NGURUWE TU, kinawatosha! Yaani kimoja tu.
LIVERPOOL???? Please, hiyo historia naona sasa inawalemaza na upstairs. Yaani De Gea aondoke Manutd aende Liver??? Duh!Majira ya joto ni bora Degea akaondoka tu, ni huruma sana kuona goalkeeper wa kiwango kile anacheza kwnye timu ambayo ni mediocre km ile, goalkeeper wa kiwango kile hatakiwi kukosa michuano mikubwa km UEFA, ondoka tu Degea nenda Madrid or liverpool ya Klopp uje utimize ndoto zako, Old Trafford ya Ferguson ndo ilkua Theatre of dream hii ya sasa ni Theatre of curse
Hii ni Emirates Cup, msimu uliopita tuliwapiga viwili tena mbele ya mademu zenu! Walete walete!!Unaonyesha jinsi gani unavyotuogopa unatamani tutolewe mapema ili tusikutane.....kwani bado una maumivu ya zile tatu....?
Sawa timu yangu Jipu na kwa hali ilivyo timu yako itakua tambazi,ujio wangu kwa jirani ni sababu ya misiba mfululizo siwezi kuwaacha pekee yenu lazima niwasaidie kuchimba kaburi,hata mimi nikifiwa mnajaa pale kibarazani kwangu nina uhakika leo mmoja wetu atafiwa lazima tukutane msibaniMoja nimemjibu shabiki wa man u mwenzangu, nyingine nimemjibu mkaanga sumu
Ivi ww team yako yenyewe jipu kutwa kwenye nyumba ya jirani ilihali kwako una matatizo...
GGMUHaya sasa bado muda mchache mtanange uanze...kwa kweli kombe la FA ndilo ambalo realistically timu yaweza shinda...line up siyo mbaya...ngoja tuone