Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kosa limeanzia kwa De Gea amedaka mpira na kupiga mpira mrefu bila malengo. Mie hapa ndio huwa nawaona barca wapo tofauti na timu nyingine. Kipa hutakiwi kupiga mpira tu eti uende mbele wakati chance ya kuupoteza ni kubw a kuliko kuupata.
We umeona kwa kipa tu? Umewahi kuona hata beki zake zikilipua?
 
Why kocha anachezesha 3-5-2 with Fellaini as CM and Carick as CB badala ya 4-4-2
Unapomchezesha Rashford na kumuweka bench Herrera kwenye mechi ngumu kama hii ni ushindi tu ndio utakaookoa tactic zako. LVG is cluesless kabisa. Mechi vs Liverpool sio ya kuchezesha akina Rashford wakati wazoefu wako fit umewaweka nje. Atamuharibu huyo dogo sasa hivi.
 
Liverpool wamecheza vizuri sana. Lakini penati was debatable na goli la pili lilianzia kwenye move ambayo ni offside kabisa. Kifupi refa speed ya game ilimshinda. Hii mechi sio EL ya kawaida,ni zaidi ya hivyo inahitaji refa strong.
 
Kwa hiyo macho na akili yako inaishia Kiluvya tu?!? Dunia kubwa hii, wewe unalala, wengine wanaamka, wengine wapo kazini, wengine wanatoka kazini n.k.


Hence my reply, "Kalenda na saa yangu..."

I can't assume where you are. Since you were writing to me, you should have put that in consideration.

Pole! Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeee
 
Daniel Sturridge's 20th-minute penalty set the Reds on their way in the first European meeting between England's two most-decorated clubs, beating David de Gea from 12 yards after Memphis Depay was contentiously penalised for clipping Nathaniel Clyne.
 
LVG na Fellaini wake.....Mara nyinyi huwa simkubali Fellaini ila wenzangu humu huwa mnamsifia sijui kwanini?

"I have to say Fellaini was one of the best players on the pitch," Van Gaal proclaimed after the defeat - cue social media eruption in amazement.

The imposing Belgian played in his usual abrasive style, and was a useful tool at the back when defending set-pieces, but otherwise he was a microcosm of United's lack of cohesion, and didn't seem to know where he was playing.



He was by no means the only weak link in the United side, but the stats hardly add any resonance to Van Gaal's claims. Fellaini won less than half of his duels, won only one tackle all game and lost the ball 20 times - the joint-most of any player of the pitch.

And the most damning stat of all - without Fellaini, United have won 68.4 per cent of their matches in all competitions since the Belgian's arrival at M16; with him in the side, it is a 34.6 per cent success rate. Ouch.
 
Man of the Match alikuwa kipa De Gea
Tuwe wa kweli,MAJOGOO tulistahili kushinda jana
 
Man of the Match alikuwa kipa De Gea
Tuwe wa kweli,MAJOGOO tulistahili kushinda jana
Kuna post nimesema liverpool wamecheza vizuri sana, lakini siwezi kufumbia macho debatable penalty na clear offside kwenye build up ya goli la pili.
 
Paul Scholes: "Manchester United didn't need a [new] philosophy. They had one for 20 years."

Uh uh uh.....!master plan na tegemeo letu ni Big Fella,nyie Liva tunawasubiri Old Toilet tutawafanyia kitu mbayaaaaaaa ingawa thijui iyo kitu mbaya hata inafanywaje mimi nimejithemea tu.
 
Ball possession 77% kwa 23% ni aibu kubwa...achilia mbali hizo goli mbili tulizowapiga!
 
kwa wale washaniki nguli wa man utd utakumbuka mwaka 2008 morinho alivyoibeza man baada ya kumfunga kwny fainali.ya uefa pamoja na wachezaji wa man utd akiwemo ronardo kwa kumwita ni mchezaji wa kawaida tu
Braza, ebu tukumbushe vizuri hapa! Unaongelea fainali ya UCL iliyofanyika Moscow? Kumbukumbu zangu zinasema Mourinho hakuwa kocha wa Chelsea, ni Avram Grant ndiye aliyekuwa kocha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…