Hodiii hodiiii...!waungwana nimepita kuwajulia hali nimetoka hapo kwa jirani mtaa wa darajani kuna msiba nasikia na hapa kuna mgonjwa ivyo ningependa kujua,tulete mchango wa jeneza kwa kua hawezi kupona au tuwahi duka la dawa kumnunulia mgonjwa panadol.?
Umepotea nyumba mkuu,mgonjwa mahututi yupo kule mtaa wa saba unaoitwa Anfield, Anapumulia mipira sasa hivi,akipona leo usiku basi asali sana, kifupi jeneza lake lishaandaliwa tayari.
Hodiii hodiiii...!waungwana nimepita kuwajulia hali nimetoka hapo kwa jirani mtaa wa darajani kuna msiba nasikia na hapa kuna mgonjwa ivyo ningependa kujua,tulete mchango wa jeneza kwa kua hawezi kupona au tuwahi duka la dawa kumnunulia mgonjwa panadol.?
Umepotea nyumba mkuu,mgonjwa mahututi yupo kule mtaa wa saba unaoitwa Anfield, Anapumulia mipira sasa hivi,akipona leo usiku basi asali sana, kifupi jeneza lake lishaandaliwa tayari.
Umepotea nyumba mkuu,mgonjwa mahututi yupo kule mtaa wa saba unaoitwa Anfield, Anapumulia mipira sasa hivi,akipona leo usiku basi asali sana, kifupi jeneza lake lishaandaliwa tayari.
Haaaa haaaa wenyewe wako mapangoni hawaamini wanachokiona so far Liva kawaziba matundu yote ya kupumulia ngoja tuone 2nd half kama watafufuka maana kipa wa Liva alikua likizo,ila Liva kama wamasai usiwawekee dhamana.
Daah!! Kwa mpira huu man u ushindi wasahau aisee... mpira wa taratiibu sana.. with no concentration.. wanapoteza mipira kirahisi sana na wanakaba kwa macho yan..
Kosa limeanzia kwa De Gea amedaka mpira na kupiga mpira mrefu bila malengo. Mie hapa ndio huwa nawaona barca wapo tofauti na timu nyingine. Kipa hutakiwi kupiga mpira tu eti uende mbele wakati chance ya kuupoteza ni kubw a kuliko kuupata.