Pacha Jana nilikuwa naangalia kny youtube game tatu hizi za mwisho za Man U,Depay aiseeee Shemeji alisakata kabumbu acha kabisa kuanzia Ile Mityjland dooohh Depay kabadilika sana akiendeleza hii spirit na zaidi kila siku tutacheka.....shem Ana comeover......lol
Rashford uwiiiiii hii ni hazina sana haka kababy katuzwe sana kata tufa sana kanajua kutumia vizuri opportunity.......
Mata is anything that occupies a space kwa Norwich alinibariki sana.
Yaani ukitaka uinjoi game na ujue mambo vizuri uje ufanye replay aiseee unainjoi sana,siku ya game yenyewe presha ya Magoli inakuwa juu sana kiasi huoni utamu na ubaya uko wapi zaidi.
Pale mbele tu LVG apafanyie kazi tutacheka sana,halafu sasahivi defense yetu siyo tena kiviiile km kipindi fulani hapo Juzi Kati DDG alikuwa anapumzika,aiseeeee DDG anafanya kazi kubwa sana jamani acheni tu RM washindwe na walegee wasimsumbue tena.