Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ighalo alinunuliwa na bahasha za man utd...ile mechi mlizidiwa sana tu isee.
Watford walikuwa wanacheza hadi siamini hii ni Watford au timu gani?! Ila timu kubwa ndio huwa inaonekana kwenye mechi kama hizi. Ni sawa na game ya chelsea vs norwich
 
Watford walikuwa wanacheza hadi siamini hii ni Watford au timu gani?! Ila timu kubwa ndio huwa inaonekana kwenye mechi kama hizi. Ni sawa na game ya chelsea vs norwich

Tofauti ni kwamba Ighalo alimiss open chances (walau hata ange shoot on target ningeelewa)....he was boughtttttt
 
Tofauti ni kwamba Ighalo alimiss open chances (walau hata ange shoot on target ningeelewa)....he was boughtttttt
Wewe unatakiwa ushukuru tumewafunga hao jamaa, wangetufunga saa hizi ungekuwa usharudi namba 13! Ngoja Everton washinde kiporo chao mrudi nafasi yenu kule ukurasa wa pili na nusu!
 
Wewe unatakiwa ushukuru tumewafunga hao jamaa, wangetufunga saa hizi ungekuwa usharudi namba 13! Ngoja Everton washinde kiporo chao mrudi nafasi yenu kule ukurasa wa pili na nusu!

I wanted a draw....
 
hii gem ilinikuta sehemu fulani hivi amazing hahaha nakula utoto. nimeangalia wee nikaona hawafungani. ile nanyanyuka nikalale kitu hicho wavuni usingizi ukakata.
Sipati picha hiyo Jana aisee. Hope ulienjoy sana. Naona Mata aliongeza furaha yako
 
yani nilidefine matter kwa furaha. kuangalia kwa ase8 nao wamegongwa, mancity nae Kachezea. nililala usingizi mtamu hadi nikaota nipo OT
Hahahaha safi sana. Naona roho imesuhuzika kabisa. Wapi Depay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…