Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilichopenda ni jinsi depay anavyoanza kucheza vizuri (kwa kujiamini) now days!!! Verela (yule beki no. 2) na bashford wamefanya vizuri sana leo!!!
Bashford inabidi apewe nafasi zaidi naiman atakua bora sana siku za usoni...wenda atakua tumaini letu la ushambuliaji!!!

Again, japo kwa sasa kuna majeruhi, nimependa sana jinsi LVG anavyowapa nafasi madogo!!
 
Nitarudi baadaye wadau, Nina furaha nahisi nitaandika vibaya
LVG ameamua kumkabidhi Wenger kwa UK media impe hukumu kama inavyomsakama yeye na ilivyompitishia hukumu Mourinho.

Everlenk imepita kule kwa Wacha1 kumpelekea HEDEX?
Rashford ameibuka kuwa mwokozi wa LVG na "Mashetani wekundu"

Vipi "LVG out" imepewa sitisho la muda?
 
Kuokota dodo chini ya mpera raha sana...ila EPL bado sana La Liga..Bado naamini Barcelona, Real Madrid & Atletico Madrid ndio team bora duniani..Uingereza utumbo mtupu
 
LVG ameamua kumkabidhi Wenger kwa UK media impe hukumu kama inavyomsakama yeye na ilivyompitishia hukumu Mourinho.

Everlenk imepita kule kwa Wacha1 kumpelekea HEDEX?
Rashford ameibuka kuwa mwokozi wa LVG na "Mashetani wekundu"

Vipi "LVG out" imepewa sitisho la muda?
"LVG out" iko likizo kwa sasa!!! Na nnaomba isijirudie kwa sasa...
 
LVG ameamua kumkabidhi Wenger kwa UK media impe hukumu kama inavyomsakama yeye na ilivyompitishia hukumu Mourinho.

Everlenk imepita kule kwa Wacha1 kumpelekea HEDEX?
Rashford ameibuka kuwa mwokozi wa LVG na "Mashetani wekundu"

Vipi "LVG out" imepewa sitisho la muda?
Hahhahahha LVG out.......aiseeee acha kabisa I thank God maana Leo watu walikuwa wamechimba kaburi kutufukia hatimaye wamezikwa wao......siyo huyo tu kuna kashengo kuna rubaman kuna McDonald Jr naomba uwapelekee salaam zangu za Rambirambi waambie OT tuko pamoja nao katika msiba huu mzito....... Season closed see you next season Arsenal we love youuuuuuuuuu........
 
JS83767007.jpg
 
Back
Top Bottom