Kwiiiii kwiiiiii nasema ivi Barmaid hakatai bia wewe mpe yoyote ile atakunywa iwe safari au ndovu iwe ya moto au baridi muhimu bia,top 4 inaota mbawa taratibuuuuu hawa Sunderland sio watu wazuri
Wafiwa tunaomba ratiba ya mazishi basi na kama tunasafirisha au tunazika hapahapa semeni mapema naona mnalia tu na muda unaenda,majonzi ya nini wakati marehemu kaugua kwa muda mrefu.
Picha imeji-upload tu
Wafiwa tunaomba ratiba ya mazishi basi na kama tunasafirisha au tunazika hapahapa semeni mapema naona mnalia tu na muda unaenda,majonzi ya nini wakati marehemu kaugua kwa muda mrefu.
Picha imeji-upload tuView attachment 323036
Kuna misiba miwili so marehemu watazikwa pamoja, kesho tutasafirisha msiba mpka Emirates na Huko ndo mazishi yatafanyika na tutakuwa na tanga Ndugu ya siku tatu.
Nakusoma vyema mkuu
Hapo hatujaongelea kizazibalichozalisha akiwa porto
Allbwe need is mourinho then thebrest itafuata
Angalia kwa mfanongame ya leo hata sunderland inatusumbya hv?elovijii kaiturn man u kua timu ya kawaida sana