Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
Fellain ni mchezaji muhimu sana kwenuSure tuone kipi kinatokea maana leo Fella baada ya watu kumpiga madongo kibao kocha leo hayupo hata kwenye bench
Ana bully sana Opponent Midfielders
Na kila akitolewa Timu pinzani huanza kuwa dominate katikati
Fellain ni scape goat ya bad results kwa manure but jamaa anajituma sana...
watu wa mtaani wanasema "ANAKATA UMEME"