Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nakusoma vyema mkuu
Hapo hatujaongelea kizazibalichozalisha akiwa porto
Allbwe need is mourinho then thebrest itafuata
Angalia kwa mfanongame ya leo hata sunderland inatusumbya hv?elovijii kaiturn man u kua timu ya kawaida sana
 
Njooni Arsenal mupate utulivu wa moyo, mashetan wekundu sasa mmekuwa mashetani wa kike
 
Naunga mkono kwa gigs kua permanent na long term plan but now now
Now we need someone wa kuturudisha where we belong n thats mourinho
Kosa la kwanza tulilofanya ni kutomuandaa gigs as madrid did for zidane o wht barca did to pep au enrique
Zidane alipewa timu b kwa miaka kadhaa tayari kaiva
Pep alikua barca b kwa muda msaidiz wake akiwa enrique after that pep kapewa timu wakat enrique kaenda roma then celta vigo kuongeza ujuzu but thats not what we have invested to gigs kakaa tu kama 2nd man for misimu kadhaa thats not enuf japo he can do the job but itakua gamble
 

Acheni kulialia man u ni team mbov tokea hapo awali ilikuwa ikibebwa ni refarees sasa heshima ya fargason imeondoka ngoja tuone huo uwezo wenu., manjipa moyo kw gigs., Man tayari ilishatiwa kaburin tokea mumewatoa wachezaj akina van parsie, evra, rafael etc. wyn rooney alipaswa kuondoka na fargason lakushangaza bado muna mtukuza for nothing, kikombe oldtrafrd sasa ni ndoto nafs yenu kwa sasa ni europa inabid muipiganie.
 
Kwa hiyo Leicester nayo msimu huu imenunua marefa
 
For real we moving into the black hole. LvG is out of option. He seems desperate.
 
Back to the ordinary, baada ya 3 impressive games, hopes were raised ila dah! Ilikuwa chance ya kuwakamata angalau kwa kuwasogelea wanaocheza kesho.
 

Mkuu unajifunza kutype??
 
Sijawahi kuona kocha mjinga kama huyu Van Gaal,kwanini hivi anabadilisha badilisha kikosi kila wakati?Fellain na Carrick walikuwa wanacheza vizuri sana pale kati na ndio sababu ya Manchester united kucheza vizuri ktk mechi nne zilizopita na kupata matokeo mazuri,at least basi angemtumia Herrera katika nafasi ya Fella,Carrick na Schneiderlin hawachezi kwa maelewano na kiungo yetu hukosa kabisa mipango hawa wawili wanapocheza pamoja,kwanini LVG halioni hili?Ni kujitia ujuaji au nini?We are doomed with this clueless manager.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…