Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Asanteeeeeee ulibaki mwenyewe kukubali hiliiiii
. ......but nakumbuka hili "Tutafika tu"
 
Ndugu zangu huu msiba tunazika hapa hapa nyumbani au marehemu tunamsafirisha kwa mumewe,mimba ya goli 1 mbaya sana kwiiii kwiiiii duh chizi karogwa tena.
Mimi leo mgeni wako niandalie vinywaji vya kutoshaaa.....
 
Na unadunda kweli hadi ukamkuta Austin teeehe teeehe ukimuona everlenk na ndugu yangu @cuteb wape pole
Hahahhhahahha jana nilikuwa na kazi moja tu nimepanda kabisa kny kurasa zote za Man U hadi e-mail nimeandika barua nzito kama ya yule shabiki wenu aliyeandika kipindi kile cha Brendan,nimechamba mzaramo nyumaaaa na yai langu bovu la kiTz hivyo hivyo watapata message.
 
Nitakubaliana na maamuzi ya bodi ya timu
Ai wewe Nzi ina maana wakimuacha na wewe utakubali ??. ......ahhhaaa umoja ni nguvu bana tukipaza sauti zetu bodi watasikia....
 
everlenkmnaangalia167386 said:
Nipo niende wapi miye na Man U ndo mume wangu wa kufa na kuzikana ila nina mchepuko mmoja Barca alinifuta machozi kiaina......leo mi mgeni wako usinikimbie tu....
Yaani siku hizi mnaangalia game kwa kuvizia.
Jana nasikia uliamua kupika maboga badala ya kuangalia game...tehe tehe.
 
Ai wewe Nzi ina maana wakimuacha na wewe utakubali ??. ......ahhhaaa umoja ni nguvu bana tukipaza sauti zetu bodi watasikia....
Bodi ndiyo inajua zaidi yetu sisi washabiki. Na inafanya maamuzi yake kwa kuzingatia ushauri na mapendekezo ya wataalamu.
 
Mi ni Wa darajan yaan naona position ya 14 hatutoki imekuwa km tarhe ya kuzaliwa.
Aiseeeee best angu nimevurugwa sana mpka nimekusahau......Ila na wewe umepotea mnoooo!!!! Habari za siku mingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…