Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bwana wewe unataka LVG leo hii aondoke tena
 




Mtachukua ubingwa mwaka huu hasa baada ya kuwachapa Loser Fools
Khe he khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 


Good job boys .... ..... .



Wine Romney mpira umemshinda amekalia ubishi tu chacha ... ..
One shot on target is not good enough to start an urgument.
 


Good job boys .... ..... .



Wine Romney mpira umemshinda amekalia ubishi tu chacha ... ..
One shot on target is not good enough to start an urgument.
Ningekua na uwezo ningerusha jiwe kwenye TV nimuumize yule Van Girl angejua tunavyoteseka kitaa angejiuzulu tu
 
Moja katika mambo yanawawinda sana kwa MSIMU WA 3 ni kuondoka FEAR FACTOR

Siku hizi Watu hawana hofu kabisa na OT wala mkicheza Away

sana sana naona mnakamiwa tu..kila game inakuwa kama Fainali kwa manure kwa msimu wa 3 mfululizo
 
Cha ajabu ni nini? Hapo mwanzo nimesema sasa inaniwia vigumu kutetea yanayoendelea kwenye timu. Nipo tayari kwa uamuzi utaochukuliwa na bodi ya timu. Wao ndiyo wanaelewa zaidi.
Tehe tehe.....
Yako wapi mapenziiii...Christian Bella
 
Fewest chances created in the Premier League this season:
West Brom (163)
Norwich (180)
Sunderland (181)
MUFC (182)
[ Squawka ]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…