Kapangwa tena????Fellaini ameanza ukorofi mapema
Acha zakoMfungwe tu
Usipime kina cha mto kwa machoHuyu dogo aliyeingia sasa hivi mbona kalegea hivi. Ataweza mikiki mikiki? Halafu anajina refu.
Mimi mwaka huu sina imani kabisaa na man uDakika ya 10
Liverpool 0 - Man Utd 0
Kafanyaje tenaFellaini ameanza ukorofi mapema
Hakuna timu, kwa sasa tupo hovyoKwa hili Game sio gumu ila Man kuna kitu wanakosa mtu wa kupandisha mashambulizi
Tupo tupo tuu.. ila tutafika tuuMimi mwaka huu sina imani kabisaa na man u
As usualBoring game...