Mm nipo kwangu Ikwiriri!
Njoo na everlenk niwafungie samaki uduvi mrudi Dar muwafanye kitoweo
Unapoingia katikati ya Jiji la Leicester unakumbana na bango kubwa sana juu ya highway yao linasomeka:
"Jamie Vardy score whenever he want"
asante sana. majeruhi tu ndo wnatusumbua la sivyo
wachezaji wengi tuMajeruhi ya baba kai ??
wachezaji wengi tu
hata me jana nilishangaa kuona morgan yupo bench. huyu anazingua sana aiseeHivi schneiderlin ni majeruhi??, kusema ukweli philosophy za huyo mzee wengi hata sizielewi hivi na hii epl unaenda kucheza na viungo katikati wazee wawili(carrick na shwein) kweli mpira philosophy na van gaal anajua zaidi
huu ubingwa unakila dalili za kutua darajani ni suala la muda tu
Ungesema leicester waipige chelsea ningekuelewa, unachotaka hapo juu will come to haunt you come March! Mpinzani wa top four bado ni chelsea, liver, tottenham, sioni leicester city wakiwa hapo mpaka March! Tusubiri wiki ya tatu ya januari tutaona mbivu na mbichi, mchele utajitenga na chuya! Kuna tight schedule ya Xmas na new year, hapo ndo wasindikizaji huishiwa pumzi!
Yaani hii ndo raha ya EPL leo unacheka kesho unalia, yaani hadi raha eti naye chelshitty amekuwa mmoja wa kumcheka The great Man U.
Man u yupi? Yule mwenye imani kuwa mafanikio yatakuja tu kwa kuamini historia ya team!? Heheheeee!! Mum u mnaroho za kujifariji kweli kweli.
Hahaha mfalme mwerevu bana sikufikii wewe kwa kujifariji.......Ila ukweli ni mpito tu next tutakuwa Sawa.
Nipo pouwa kiafya my kaka,ila kimchezo nipo hoi but all in all ni mapito tu yanapita nitakuwa Sawa.......
Nasikia mna msubiria Pep msimu ujao