Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu zangu nimezitaja, hii uliyonichagulia siitambui...uliza "shembby" ako atakupa orodha ya timu zangu.
Nilimuomba anifungulie majukwaa ya timu hizo lakini yuko bizee.

Everlenk ukuje hapa.

Hahahahaaaa bora umekuja huku Nonda maana umezidi kila siku uko ktk thread yetu njoo na huku kwa Man U uwasalimu kidogo......
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaa bora umekuja huku Nonda maana umezidi kila siku uko ktk thread yetu njoo na huku kwa Man U uwasalimu kidogo......

Hahahaaaa ulivo mkaribisha utadhani na wewe ni mwenyeji wa humu, huyo nonda mnajuana nae nyie tu
 
Last edited by a moderator:
manchester-united-man-utd_3387099.jpg


Timu hii kwa kocha anaejua anachofanya haiwezi kusumbuliwa na timu kama Bournemouth
 
Goals after 15 league games:
2015-16: 20 (LVG)
2014-15: 26 (LVG)
2013-14: 22 (Moyes)
2012-13: 37 (Fergie)
 
'attack wins games,
defence wins titles' sir
alex ferguson
 
Hahahaaaa ulivo mkaribisha utadhani na wewe ni mwenyeji wa humu, huyo nonda mnajuana nae nyie tu

Hahahahaaaa Mkuu we acha tu..... Huyo jamaa yeye na Chelsea tuuuu hana timu ingine ya kuikosoa au kuishambulia Zaidi ya Chelsea tu...... Sasa nikaona aje huku alete uchambuzi wake huku.......
 
SAF: "My job was to make everyone
understand that the impossible was
possible"


LVG: "Expectations of this club
are high. Thats our problem"
#thedifference
 
Sasa nyinyi mko full mkoko mnapigwa kila siku! Wewe tulia tu na ujitahidi umalize top 10!

Tarehe 28 siku ya jumatatu nakuja hapo kwako OT kukuduga...... Naombea majeruhi wako wapone haraka ili ukose sababu ya kulia kwanini nimekufunga.
 
Wakuu wa Ali hamisi vipi kitale cha leo tinaruhusiwa kuwa jukwaani? khe khe khe khe khe khe khek he khekhekhekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
ndo na mimi nashangaa hapa. ngoja tuone itakuaje?

Defence yetu ya Leo sio UA uhakika badala ya kumuanzisha Morgan akasaidie kuharibu mipango anamuweka fellain?
Mzuka wa kuangalia mechi umeshakata aisee dah
 
Defence yetu ya Leo sio UA uhakika badala ya kumuanzisha Morgan akasaidie kuharibu mipango anamuweka fellain?
Mzuka wa kuangalia mechi umeshakata aisee dah
defence leo kazi ipo. fellaini chenga sometimes. pale kati angekuwepo morgan ingekuwa poa

mzuka umekata kabisa aisee
 
Back
Top Bottom