Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

<p>
Timu zingine zishazoea kushuka daraja lol. walianza kwa moto lakini wapi .</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Hongereni wakuu . Tunaenda kumnunulia Chelsea mashine ya kupumulia baada mechi yenu tunachukua mashine yetu lol.
</p>

Lol!
Peasant yuko around hapa, bila shaka atakuwa na jibu.
<p>&nbsp;</p>
 
Peasant

U ARE NEXT!


Bahati yenu mbaya bado tunajaribu kumaliza kwenye top 2, tegemea kichapo mkuu. Lakini sidhani kama farty fat Arses wata-take advantage maana bado mtacheza nao kwenye fortress yenu, Emirates.
 
Timu zingine zishazoea kushuka daraja lol. walianza kwa moto lakini wapi .


Hongereni wakuu . Tunaenda kumnunulia Chelsea mashine ya kupumulia baada mechi yenu tunachukua mashine yetu lol.

<p></p>

Lol!
Peasant yuko around hapa, bila shaka atakuwa na jibu.
<p>&nbsp;</p>


Aaahh!! Kwani Fat Arses hawawezi kuchukua kombe wenyewe mpaka wasaidiwe?! Hata tukiwafunga Manure utashangaa na wao wanachemsha next game, jisaidieni wenyewe kabla ya kuomba msaada.
 
Aaahh!! Kwani Fat Arses hawawezi kuchukua kombe wenyewe mpaka wasaidiwe?! Hata tukiwafunga Manure utashangaa na wao wanachemsha next game, jisaidieni wenyewe kabla ya kuomba msaada.

mie nitakushangilia tu mkuu hizo dakika 90 bila wasi wasi.Sio kwa vile nahitaji msaada wa chelsea ,naah, ni kwa vile nataka man united wa drop points.
 
mie nitakushangilia tu mkuu hizo dakika 90 bila wasi wasi.Sio kwa vile nahitaji msaada wa chelsea ,naah, ni kwa vile nataka man united wa drop points.


Hahahahaha! Naona unajaribu kucheza na maneno tu mkuu. Chelsea kumfunga Man united ndio msaada wenyewe mnaotafuta Arsenal, bila ya Man kufungwa ninyi hamwezi kuwa mabingwa. Tutawapa huo msaada, mkishindwa kuutumia imekula kwenu. Tatizo pekee la msaada ni kelele kupita kiasi tutakazopigiwa kwa mwaka mzima kutoka kwa hungry, noisy neighbours.
 
Hahahahaha! Naona unajaribu kucheza na maneno tu mkuu. Chelsea kumfunga Man united ndio msaada wenyewe mnaotafuta Arsenal, bila ya Man kufungwa ninyi hamwezi kuwa mabingwa. Tutawapa huo msaada, mkishindwa kuutumia imekula kwenu. Tatizo pekee la msaada ni kelele kupita kiasi tutakazopigiwa kwa mwaka mzima kutoka kwa hungry, noisy neighbours.

kama huitaki champions league mwakani poteza hio mechi lol.
 
kama huitaki champions league mwakani poteza hio mechi lol.


Hata tukifungwa, bado tuna mechi kibao za kumaliza ndani ya top 2 au 3 timu zote zilizo juu isipokuwa Arsenal bado zina mechi Stamford Bridge kwa hiyo bado tuna nafasi nzuri.
 
mie nitakushangilia tu mkuu hizo dakika 90 bila wasi wasi.Sio kwa vile nahitaji msaada wa chelsea ,naah, ni kwa vile nataka man united wa drop points.


Labda mtakuwa mmejifunza mwaka huu, maana mwaka jana pia mlikuwa mnapiga sana kelele kwamba Chelsea wangechemsha mwishoni maana mlikuwa mnaona mechi zenu ni "nyepesi" kuliko za Chelsea. Naona kama mko kwenye similar situation na mwaka jana, ngoja tuone mtafanya nini.
 
Back
Top Bottom