Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Goooooooolllllllllllllllllll ROONEY wapinzani kubalini hili ni goli la mwaka
 
magoli ya Man U ya leo makali sana......Hili la Rooney kali kinyama...Full TANGAZO........Safi sana.....Japo sitaki washinde ila ndo UKWELI huu....GOLI ZURI....2-1.....
 
goal of the year 2011, jamaa kafunga mwaka february .


Naam sidhani kama kutakuwa na goli lingine zuri kama hili la Rooney katika msimu huu....Berbatov (kama sikosei) aliwahi kufunga goli kama hili msimu huu lakini la Rooney zuri zaidi
 
Daaah naona Arsenal tumbo joto huko sio mchezo........
 
magoli ya Man U ya leo makali sana......Hili la Rooney kali kinyama...Full TANGAZO........Safi sana.....Japo sitaki washinde ila ndo UKWELI huu....GOLI ZURI....2-1.....

Siye Gunners hatuna hiyana kama kitu ni cha uhakika tutakisifia hata kama ni cha mahasimu wetu.
 
Naam sidhani kama kutakuwa na goli lingine zuri kama hili la Rooney katika msimu huu....Berbatov (kama sikosei) aliwahi kufunga goli kama hili msimu huu lakini la Rooney zuri zaidi

Yeah Berbatov aliwahi lakini hili limezidi kuwa zuri kijana kajitahidi naona.....
 
Dua zako zimesikika...yamekua mawili ndiyo ila moja kwa kila upande.....LOVELY.................
Usijali sana si unajua money cant buy class.....,glory glory man utd we are matching on and on....

 
Vidic (Mserbia) na Dzeko (Mboznia) wanalipizana visasi?
 
Mpira umekwisha na ushindi wa MAN U....hongereni sana vijana....
 
Back
Top Bottom