Hii ndiyo Man Utd ya LVG,Arsenal waliokuwa wanatuogopa leo hii wanacheza bila hofu kabisa.Darmian hana anachofanya,amekuwa uchochoro wa magoli,eti leo hii Man Utd ucheze mpira wa mipasi utegemee kumfunga Arsenal...sijawahi ona,leo nahisi zile nane tulizowafunga wanaturudishia.IN LVG I DO NOT TRUST