Wolves kama utafuatilia historia vizuri wanawafunga man utd hapo molineux stadium kama Rio Ferdinand hachezi,utakumbuka Rio alipopewa adhabu ya kutokwenda kupimwa kama anatumia madawa ya kuongeza nguvu,man utd mechi ya kwanza kucheza bila yeye ni vs wolves wakalala 1-0 Paul Ince alikuwa wolves nadhani 2003,halafu miaka minne iliyopita wolves walimchapa man utd tena man utd akapoteza matumaini ya ubingwa Rio hakucheza hiyo mechi,then Norwich city wakawafunga man utd 2-0,halafu Chelsea akamfunga Man Utd 3-0 wakachukua ubingwa msimu wa pili mfululizo Chelsea 2006kuna wachezaji man utd sijui wameingiwa na ugonjwa gani...mtu kama carrick na fletcher hawako kwenye form ya 2008 au 2009.. Siku zote uwa nasema nikimuona evans kwenye list basi napata wasi wasi..maana jamaa anakuwa bullied sana miaka miwili iliyopita he was doing the bullying heck alimbully hadi drogba out of all people.
Mpaka sasa bado sielewi ilikuwaje saf akamtoa berbatov who is good at holding/shielding the ball na kumuacha rooney ambaye alikuwa anachemsha? Tatizo letu ni kuwa tunahitaji cm sio cm yoyote but a world class cm maaana hatuwezi kuendelea kutegemea 36 and 37 year olds week in week out.
Manchester ilistahili kufungwa binafsi tulistahili kufungwa siku nyingi sena bahati ilikuwa ikituangukia mechi dhidi ya Blackpool tulishinda kwa bahati lakini mchezo hakuw wa kuridhisha hata kidogo.Mara nyingi tume draw au kushinda mechi bila kuonyesha mchezo mzuri.
Mzee Sir Alex anastahili lawama kiasi fulani ni kwanini hakusajili mchezaji wa kati wakati anajua Carick ni mzigo usiobebeka,Owen H ni majeruhi wa muda mrefu,Fleacher hana kipaji wala hastahili kuichezea Manutd.Binafsi nimefurahi sana kufungwa kwa Manchester utd.
Wacha one wacha waone wenyewe.Usimcheke mamba kabla hujavuka mto maji mwana wane. (15:00 GMT Arsenal v Wolverhampton Wanderers :Emirates Stadium) angalia usije ukapotea kichakani jmosi, ukumbuke gobole lilishindwa kufyatuka kupiga ile kopo ya castle. Fanya check up njomba mapemaa huenda limeisha anza kuwa bovu.Na ile mambo ya jumatano iko maneno (19:45 GMT Arsenal v Barcelona).Nakuonea huruma.Manda, Ngongo, Eqlypz ... ..... mmefufuka sasa baada ya kipigo. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
Wacha one wacha waone wenyewe.Usimcheke mamba kabla hujavuka mto maji mwana wane. (15:00 GMT Arsenal v Wolverhampton Wanderers :Emirates Stadium) angalia usije ukapotea kichakani jmosi, ukumbuke gobole lilishindwa kufyatuka kupiga ile kopo ya castle. Fanya check up njomba mapemaa huenda limeisha anza kuwa bovu.Na ile mambo ya jumatano iko maneno (19:45 GMT Arsenal v Barcelona).Nakuonea huruma.
ha ha ha!, Bundi anataka mchezo? ha ha ha!...msiba umetimia, ni matanga siku saba mpaka wikiendi ijayo.
Bundi anasaidiwa na kigong'ota (woodpecker) kuzamisha jahazi la Chelsea.
Manda, Ngongo, Eqlypz ... ..... mmefufuka sasa baada ya kipigo. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
Wewe ni shabiki wa mpira tu wacha waone wenyewe.Nakusubiri nikuone unavyopotea kichakani jmosi.Fanya check up ya kobole lako njomba nahisi limeanza kupata kutu au ile kitu masase imekwisha.Jumatano iko mambo mtapoteana,ile toto messi/villa sijui iko nani kaba wao.The name is Giro from where nobody knows .. ... unknown at jukwaa la Manure or Sports at JF. Mkuu angalau unaonyesha unamwogopa nani Wolves waliwatoa kamasi labda nikukumbushe tuliwachapa Wolves nyumbani kwao na weekend hii tunawakaribisha Emirates ... ..go figure it out .... .... ..Tuliwachapa Man City nyumbani kwao nyie waliwatoa kamasi ndio chababu unachechemea .. ... .. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee record yetu tuliyoweka hamuwezi kuifikia kwenda msimu mzima bila kufungwa kumbuka maneno ya prof. .... .....
BTW nafahamu wewe ni mtu wa hirizi kutoka kwa Yahaya chacha njomba tupe matokeo kutoka kwenye mkeka wa mechi hizi nne za Manure .... .... maana naona unawashwa sana na pilipili iliyoko Emirates zaidi ya Old trafford.
12th Feb : Mancs v Manure
26th Feb: Wigan v Manure
1st March: Chelsick v Manure
6th March: Loser fools v Manure
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeee
Manda, Ngongo, Eqlypz ... ..... mmefufuka sasa baada ya kipigo. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
We are rich b*+@h.....
Deloitte Money League
1 (1) Real Madrid - €438.6m
2 (2) FC Barcelona - €398.1m
3 (3) Manchester United - €349.8m
We are rich b*+@h.....
Deloitte Money League
1 (1) Real Madrid - €438.6m
2 (2) FC Barcelona - €398.1m
3 (3) Manchester United - €349.8m
Heshima kwako Wacha1,
Ipo tofauti kubwa baina ya wanazi wa Manutd na wewe,tukifungwa hatuna visingizio tunakubali bila kumtupia lawama refa au bla blah
Mkuu Eqlypz,
Vipi mbona siwaoni vijana wa Mr Bean hapa labda tumulize wacha 1 anaweza kutusaidia.
Umekosea ni.. Fat Arses hao.
CROCKED ... Rio Ferdinand
[FONT=impact!important]Rio 'n Evans out of derby clash[/FONT]
[FONT=impact!important]Nasikia Chelsick wameomba mechi yao ichezwe haraka wakati wa majeruhi khe kheeeeeeeeeeeee [/FONT]
BTW nafahamu wewe ni mtu wa hirizi kutoka kwa Yahaya chacha njomba tupe matokeo kutoka kwenye mkeka wa mechi hizi nne za Manure .... .... maana naona unawashwa sana na pilipili iliyoko Emirates zaidi ya Old trafford.
12th Feb : Mancs v Manure
26th Feb: Wigan v Manure
1st March: Chelsick v Manure
6th March: Loser fools v Manure
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeee
Nakumbuka mwaka jana wakati ligi inakaribia kwisha washabiki washibiki wa Fat Arse mlipiga sana domo kwamba Chelsea itachemsha kwa sababu mechi zetu zilikuwa "ngumu" wakati zenu Arsenil zilikuwa "rahisi", everybody knows what happened. Naona mmeanza tena kusema kwamba Manure wana mechi "ngumu" kuliko ninyi, kwanini vichwa vyenu vigumu sana kujifunza na vyepesi kusahau?!!
wacha 1, sitaki kuamini kuwa wewe ni mpenzi wa kweli wa mpira,maana hauujui huo mpira,yaani wafikia stage kujitapa tapa na kusifia kuwa man utd,haiwezi fikia record yenu ya kutofungwa sijui whole season?dats wat has been makin u so proud for the last i don know hw many yrs?hebu chukua in de last 10 yrs,idadi ya epl titles mmechukua, halafu zidisha mara idadi ya makombe mmechukua in fa n champs league ka mtakua mmefikia jus de number of cups man utd imechukua in champs league leave along epl
"Man U... Red Devils Hatushikiki"
...poleni sana wakuu!