Mkuu tatizo hao WC striker siku hizi wako wachache sana (Aguero,Benzema,Suarez,Lewandoski) wakati wa usajili Man United walipeleka offer paundi mil 65 kwa Muller but Bayern wakagoma.Cha msingi ni viungo kusaidia kufunga magoli (Mata,Depay,Hererra) hawa ni viungo wazuri sana kufunga kila mmoja akifunga at least magoli 12 tutakuwa mbali