Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jamani tumeombwa msamaha ,Luke Shaw Msamehe tu Moreno.........
 

Attachments

  • 1442433407861.jpg
    1442433407861.jpg
    36.2 KB · Views: 128
Jamani tumeombwa msamaha ,Luke Shaw Msamehe tu Moreno.........

haitosh huyu jamaa ni anti football maana tackle kama ile ndan ya box ni nadra sana kutokeaa.. alikusudia kufanya unyama ule NA UEFA wanatakiwa wamwazbu huyu dogo tena adhabu kali... kutokana na hii incident mech za leo zitashuhudia kadi nying na hata red zitakuwa za kutosha.
 
Msimu huu tuna defence nzuri kuliko timu zote EPL ,tatizo kubwa ni kutengeneza nafasi na kufunga magoli.

Kuna haja kubwa ya kuwapanga Young na Valencia mwanzoni huyu Depay awe anatokea benchi tu
 
Luke Shaw will undergo his second
operation on his right leg tomorrow. If
successful, he'll be back in Manchester
this week. [ssn]
 
Anaweza kuwa sio pure holding but kwa game ya jana ndio ilimfaa kutokana na experience yake ya UEFA na umri.
Carrick na Morgan hawa wanafanana sana wazuri sana kwenye defence but sio wazuri kwenye kushambulia but Bastian ni mzuri kushambulia.
Kwa mtazamo wangu Bastian anafaa aanze game za Champions League kuliko za EPL(EPL kuna kasi yeye yuko slow) ,Morgan aanze EPL ana kasi na ligi kaizoea
tatizo kubwa la Man United lipo kwenye kutengeneza nafasi na kufunga sio kudefend
(Mata,Young,Depay,Bastian,Fellaini,Hererra ) hawatengenezi nafasi na kufunga magoli,game karibia zote tumeshindwa kuzimaliza wenyewe


Tatizo la kutengeneza nafasi za kufunga wala si la hao akina Herrera, mwenye tatizo ni LVG,yeye anawataka wachezaji wabaki ktk nafasi zao badala ya kukimbia kukimbia kutoka eneo moja la uwanja kwenda eneo jingine.Nakumbuka msimu uliopita Herrera ktk mahojiano yake na televisheni moja hivi,akasema kwamba wakiwa ktk mazoezi LVG aliewahi kumtamkia "off" yaani "acha" pale alipotoa pasi na kuhama nafasi yake akiufuatilia mpira arudishiwe. Hizi technics ni nzuri kwa kujilinda kwasababu ni rahisi kujipanga haraka mpira unapopokonywa,ila mbaya kwa kushambulia kwasababu inasababisha wachezaji kushindwa kutengeneza nafasi za kutosha kwavile wachezaji wanazuwia kucheza kwa uhuru.
 
Back
Top Bottom