Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Transfer imewawia ngumu kiaina Pedro na Otamendi mnaosadikika mliwataka wamekimbilia kwa rival teams.LVG atakuwa ni tatizo
 
Mheshimiwa rubaman ebu nisaidie Otamendi atacheza nafasi ya nani ?.Smailling yupo pouwa.Pedro anaweza kumweka banch Depay,Mata au Young.Man haisajili mchezaji mradi kusajili Pedro na Otamedi hawana nafasi katika kikosi cha Man labda wasubiri majeruhi.

Transfer imewawia ngumu kiaina Pedro na Otamendi mnaosadikika mliwataka wamekimbilia kwa rival teams.LVG atakuwa ni tatizo
 
Last edited by a moderator:
Transfer imewawia ngumu kiaina Pedro na Otamendi mnaosadikika mliwataka wamekimbilia kwa rival teams.LVG atakuwa ni tatizo

Hivi unajua Wenger aliwataka Zlatan, Messi, Ronaldo, Yaya, Essien na wengine kibao? Kwenye hii dunia hata wewe ni tatizo kwa baadhi ya watu
 
Roho inaniuma kiukweli..
:Ramos kusain mkataba
:Otamendi kusain MCFC
😛edro kusain CFC

Na hiv tumeshinda mech tatu za mwanz cjui km huyu mzee atasajili tena!
 
aiseee man utd hatupo serious et tunataka kumsajili mane wa nn boya huyu southamptom anakosa magoli yeye na kipa anapiga nje boring van gaal cjui anawaza nn wakati anasajili imeniuma sana kumkosa pedro moyo unaMAUMIVU BALAAA:mvutaji:
 

Angecheza CB next to Smalling, Blind si natural CB anatakiwa acheze MD
 
Last edited by a moderator:

Above all players mchezaji ambaye nilipenda atue Man United alikuwa Toni Kroos na Otamendi huyu sababu ametua kwa mpinzani wetu(Man City), Wakati wa usajili kuwakosa baadhi wa wachezaji ni vitu vya kawaida inatokea kwa kila timu sio ndio vinaanza leo ,United waliwahi kuwakosa Shearer, Batistuta, Ronaldinho huko nyuma the issue ni how timu itaweza ku-move on
 
Reactions: Nzi
kuna timu kila msimu inasajili wachezaji zaidi ya sita ila mafanikio "F" inaitwa loserpool. man united kumkosa pedro watu wanachonga sana

Sio kumkosa Pedro tu, ManUnited kuwasajili Depay, Morgan, Darmian, Shaw, Mata, Herera wao kwao ni kupiga kelele tu wanabadilisha maneno tu
 
Reactions: Nzi
Sio kumkosa Pedro tu, ManUnited kuwasajili Depay, Morgan, Darmian, Shaw, Mata, Herera wao kwao ni kupiga kelele tu wanabadilisha maneno tu

tatizo wana roho za kwanini. watuache na man united
 
Angecheza CB next to Smalling, Blind si natural CB anatakiwa acheze MD

Blind ni versatile player anacheza nafasi tatu (LB,CB,DM),now tuna Carrick, Bastian na Morgan ambao wote ni DM na binafsi nawapenda wadachi tofauti na Waamerika ambao baada ya misimu 2 ataanza lilia kwenda Barca au Madrid,Otamendi ni pigo only sababu ametua kwa mpinzani wetu, City kumsajili Otamendi ni pigo kwa Chelsea, Arsenal(anaongeza miaka ya Wenger kuwa msindikizaji)
 

Man United walikuwa na offensive midfielders wengi sana (Herrera, Di Maria, Pereirra, Mata, Young, Lindgard, Depay, Januzaj, Fellaini, Valencia) while DM alikuwa Carrick so usajili wa Bastian na Morgan ukaondoa kabisa tatizo la DM kwa sasa tunahitaji pure striker (no 9) like Kane, Benzema, Lewandoski,Costa mpira wa sasa pure striker wamekuwa adimu sana kupatikana
 
kuna timu kila msimu inasajili wachezaji zaidi ya sita ila mafanikio "F" inaitwa loserpool. man united kumkosa pedro watu wanachonga sana

Gundogan, Hummels, clyne, pedro, ramos, otamendi, firmino etc...
 

Kufundisha legends na wachezaji kufanya kazi chini yake ni vitu viwili TOFAUTI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…