It was just against a belgian pub side bro..
Dogo mzuri ila namuona kama mchoyo wa pasi kwa wenzake
Dogo mzuri ila namuona kama mchoyo wa pasi kwa wenzake
Naombea siku moja Herera aanze pale kati yeye na Morgan Schneiderlin utakapoona team inavyoflown.
It was just against a belgian pub side bro..
Naona wachezaji wa ligi ya mchangani wameonesha uzoefu wao. Hongereni kwa ushindi wa 4-0 naona ubao umekosea tu, hapa ndipo naamini sometimes results are fake (in Mou voice)
Btw: hongereni kwa ushindi
cc; everlenk
It was just against a belgian pub side bro..
Asante sana mtani, jana ndo niliona maumivu ya kutoa,nilikuwa nafurahi tu kupewa, lakini ashukuriwe shemeji Depay alinirudishia furaha yangu zaid na big Fella akaikamilisha,Asante kwa dua yako ilifanya kazi.
Fellain zile nywele zinasaidiaa ujue hahahaaaa....
Juzi sisi tulivyopewa nilifurahi but kwetu duuuhhhh inaniuma mpaka now...
Hahahaha!!!! Mummy acha tu free g inauma sanaaaaaa.......
Pale kati kama DM ama? Mimi sidhani kwa sasa Herrera anapaswa kutumika kama DM wakati kuna DMs kama Bastian, Carrick, Morgan na hata Daley. Ander anapaswa kucheza kama AM, kwani yeye ni mpira wake ni wenye mlengo wa kushambulia zaidi.
Haya ni mawazo yangu tu. Hayamaanishi mawazo yako siyo sahihi.
Sawa bro.
Hahahaaaaaa free g haina tofauti na free p kwa maumivu yakeeee hagagagagaaaa...
Mamy watu wana wivu maara ooohh tumecheza na watu walio pungufu mara sijui nini yaani hawatakagi kutupongeza sijui kwa nn
Husda zao tu... kawaida mti wenye matunda ndio............?Hahahaaaaaa free g haina tofauti na free p kwa maumivu yakeeee hagagagagaaaa...
Mamy watu wana wivu maara ooohh tumecheza na watu walio pungufu mara sijui nini yaani hawatakagi kutupongeza sijui kwa nn