ameiprove sana smalling toka afanye ile mistake game na man city. thanks kwa LVG sa hivi tunamsifia smalling. darmian anajuakuhusu huyu jamaa nampa credit sana van gaal jamaa ka-improve sana.
kuhusu darmian seriously tuliwaibia torino, haikua bei yake halisi.
Herrera anahitaji kuanza ilituwe na tempo kwenye attacking maana bado dhaifu huko ila defence imeanza kusimama.
Matokeo mazuri...LvG amefanya kile nilichokisema humu, kutumia mfumo wa 4-2-3-1...kuwa na DMs wawili, AM mmoja na wingers wawili walio na uhuru.
Ila kama wanavyosema wadau wa timu wengi, attacking prowess lazima itengenezwe kwa combination ya Mata na Herrera. Januzaj, Fellaini na hata dogo Perreira wawe wanaingia kama subs.
Anyway, naendelea kufurahia maendeleo ya timu..angalau project inaonekana kuwa ya maana...
#GGMU