mkuu umenena vizuri...huyu mzee dawa yake mpaka tufungwe Fans waanze kupiga kelele ndio atabadilika.mkuu kwa kikosi cha Manchester hiki tunauwezo hata wa kuchukua ligi, karibu kwenye kila namba tunawachezaji zaidi ya mmoja, lakini tatzo kubwa tulilonalo kwa sasa ni van gaal, to be honest nimepoteza imani kabisa na huyu mzee, sijajua kwann huyu mzee amekua mkaidi kiasi hiki. last season kawachezesha wachezaji off position alisingizia ufinyu wa kikosi, Leo hii anamchezesha mata RW na depay kama #10 wakati hyo in namba ya mata original, game ya juzi depay kaonekana flop 7bu haikua namba yake + ugeni wa ligi. tunamlaumu R10 kuwa alijisahau alikua anarudi sana nyuma lakini mi sioni kosa lake maana kama wakumlisha mipira (depay) hafanyi kazi yake ilibidi yy ndio arudi kuitafuta,
anasema hawezi kum-drop young sababu yupo kwenye kiwango chake, mbona Herrera anamuweka benchi? nani asiyejua kuwa huyu dogo kwa sasa yupo vzuri? kipofu gani ambae hakuuona utatu mtakatifu wa Herrera, mata na Valencia? sio lazima wote (young na depay) waanze, mmoja anatakiwa amsubiri mwenzake, tusije tukashangaa anakuja kumchezesha Morgan kama beki, na de gea kama forward.
sijaongea swala LA blind kucheza kama CB coz alisema rojo hakua vzr kwa ile mechi, ngoja tuone mechi ijayo wakati rojo kawekwa benchi na blind kaanza.
#timewilltell .
Inaelekea LVG hapendeki wala kupenda wengi . Huyu sio mtu wa kwanza wala wa pili kusema negative juu ya LVG si kwenu tu hata alipotoka• Rafael on van Gaal: "I know he didn't like
but I don't know if that's because I am
Brazilian."
• "I'm not the only one who he didn't
like. He told other players they could leave
I can't judge if he doesn't like Brazilians".
Inaelekea LVG hapendeki wala kupenda wengi . Huyu sio mtu wa kwanza wala wa pili kusema negative juu ya LVG si kwenu tu hata alipotoka
huyu mzee ana matatizo yake mkuu, sina imani nae tena seriously, valdes hajampa hata squad number, siku anaenda mazoezini anakuta namba yake imepekekwa huko U20, kwenye mechi dhidi ya spurs hakumpa hata ile suti official ya timu lakini Valdez ye anachukulia poa tu. mbali na yote hayo Valdez hajawahi kumsema vbaya huyu mzee japokua waandishi wanamuandama sana kwamba anamzungumziaje, any way utd my team & red is my blood.
#GGMU
Alinikera zaidi ktk game moja hivi,sikumbuki Man Utd ilikuwa inacheza na nani,katika gemu hiyo Van-Persie alichezeshwa lakini hakuwa fiti,Rooney sikumbuki kama alicheza hiyo gemu,Falacao alikuwa fiti lakini hata benchi hakuwekwa badala yake aliwekwa Wilson. Bahati mbaya Van Persie hakurudi kipindi cha pili kwasababu ya majeruhi,Rooney alikuwa amechoka mno,ukiangalia benchi yupo Wilson tu wakati huo huo Man Utd ilikuwa imeshafungwa goli moja,Rooney hakuonyesha uhai na Wilson hakuingia,mzee akakomaa na Rooney wake aliyechoka mno mpaka mwisho,tulipoteza hiyo gemu wakati Falcao alikuwa fiti.Mzee kule benchi aliona bora ajaze mabeki watupu na Wilson peke yake.huyu mzee ana matatizo yake mkuu, sina imani nae tena seriously, valdes hajampa hata squad number, siku anaenda mazoezini anakuta namba yake imepekekwa huko U20, kwenye mechi dhidi ya spurs hakumpa hata ile suti official ya timu lakini Valdez ye anachukulia poa tu. mbali na yote hayo Valdez hajawahi kumsema vbaya huyu mzee japokua waandishi wanamuandama sana kwamba anamzungumziaje, any way utd my team & red is my blood.
#GGMU
Huyo ameshaconfirm kuwa ataondoka ingawa alitaka kubaki lakini situation ndio inamlazimu kuondokaBasi ngoja tusubiri tuone Pedro atafanya nini baada ya leo kumalizana naye kila kitu sasa rasmi kwetu