#Haters tumewazoea na maneno yenu mingi mingi....hiyo ni notification tu kwamba haondoki,juzi si mlikuwa mnatucheka kwamba wachezaji wanatukimbia kina Young,DDG,ADM leo umeshageuza tena sentensi amaaaaa!!!!!.......
Arsenal huwez hifananisha na man u ki ubora kwa sasa ndio maana mnavyo haha nyinyi ni tofauti na sisi hushangai wachezaji muhimu wazuri kusepa au unataka kuleta unazi. Kwa sasa mtagombea nafasi tu pengine ya NNE lakini si ubingwa nyie sajiri mpaka malaika.
Rafael n full back mzuri ila majeruhi yameshusha sana kiwango. Halafu rafael siyo mzuri kukava nafasi endapo beki wa katikati wamepotea. Damian Mateo yuko vzr
Arsenal huwez hifananisha na man u ki ubora kwa sasa ndio maana mnavyo haha nyinyi ni tofauti na sisi hushangai wachezaji muhimu wazuri kusepa au unataka kuleta unazi. Kwa sasa mtagombea nafasi tu pengine ya NNE lakini si ubingwa nyie sajiri mpaka malaika.
Aisee una kiburi cha kuongea hivi kwa kumfunga chelsea moja bila au ni nini kinakufanya uwe kiburi? Mimi nimekuuliza kwa hiyo unamshauri wenger asisajiri? Jibu ili niihifadho comment yako alafu kabla ya januari nikukumbushe
Rafael n full back mzuri ila majeruhi yameshusha sana kiwango. Halafu rafael siyo mzuri kukava nafasi endapo beki wa katikati wamepotea. Damian Mateo yuko vzr